Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Shikamoo dadaEeenh
Shikamoo dadaEeenh
Shikamoo binamu...duh, nimejaribu kuandika namba 6 nimeshindwa, nahitaji mazoezi mengine, wikend labda nikiwa kwenye khali isiyo sawa




...hapa namba tano ndo napopapenda sana, ikianza Ramadhan napumzika, ni mwendo wa kudoea tende tu masjid sikujua huwa nafanya utaratibu mzuri
Apaa anko kawazaa ngono tu Obe anko bwana
Nzuri kabisaa mzm weweHatujambo shedy za ww
Nko poa,hbr ya sikuNzuri kabisaa mzm wewe
![]()
![]()
![]()
![]()
ndo nan huyo
...huyu ndo yule aliyemficha anko wangu wiki jana, kwani mlimuona huku na kisingizio chake eti alienda kufuatilia jezi ya manchester united

Njema sana wapi ShululuNko poa,hbr ya siku
Salaam mkuu?...huyu ndo yule aliyemficha anko wangu wiki jana, kwani mlimuona huku na kisingizio chake eti alienda kufuatilia jezi ya manchester united
Katingwa na majukumuAmekua adimu sana humu jukwaani
Hahahahahaha hii juis naipendaga maeneo ya kinondonii kuna kijiwe changu cha hii kitu...kwa kuwa kinaongeza nguvu kama ulivosema ntampeleka anko
Salaam mkuu?
Hakika niko sawa ndugu. Tumshukuru Mungusalama sana mdau, good to see you here mdau wa ukweli. Naamini kila kitu kiko sawa
Jezi inatakiwa og na maandaliz juu anko...huyu ndo yule aliyemficha anko wangu wiki jana, kwani mlimuona huku na kisingizio chake eti alienda kufuatilia jezi ya manchester united
Jezi inatakiwa og na maandaliz juu anko
Nmekwama kidogo ankoo reservation time inakata uskuu huu na kesho kasafarii ketu ntakwama awa ea tanzania una utaratibu gan nao ...ao nikose yale mambo ufurahi
Wameniingiza gharama mara 2 na usawa huu si ntakuwa nazimia watu simu make za vyeediiii zitatokaa wap...pole anko, nakuelewa sana, eatz sio wa kuwaamini ni kama kumuwekea dhamana mmasai, ungendelea tu na utaratibu wa wale wa siku zote fj, yake mambo kukosa huwezi wewe jiandae tu na tangaza kuongeza mzigo/zawadi incase ukachelewa