Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE:Mungu Baba Mwenyezi tuna kila sababu ya kusema Asante kwa asubuhi njema ya leo Alhamisi tarehe 4 OKTOBA 2018 Tunakuja mbele zako kwa shukurani kuu.Tunaomba toba kwa yote ambayo tumekosa kwa mawazo,maneno matendo uturehemu Baba.Tujalie utu wema na tuwe msaada kwa kila mmoja wetu.tunakabidhi miili yetu na roho zetu ili tuishi maisha ya kukupendeza bariki kuingia na kutoka kwetu,bariki kazi za mikono yetu ..wabariki na kuwalinda watoto na wajukuu zetu malaika walinzi wawalinde popote watakapokua leo damu takatifu ya Yesu Kristo iwafunike na malaika walinzi wawazingire.
Baba fariji wafiwa na walio na changamoto mbalimbali wakuone wewe.wape tumaini wajane ,wagane,yatima na wahitaji wote.
Tunaomba bariki kazi za mikono yetu zizae matunda ya kukupendeza.waponye wagonjwa wote mahospitalini na majumbani watakase na takasa kila dawa wanayotumia.
Asante Baba maana umekuwa mwema kila wakati fadhili zako hazina mwisho.Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen.
ALHAMISI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO INENE MEMA NA
ITUFUNIKE


Cc@bihaviorist
 
TUOMBE:Mungu Baba Mwenyezi tuna kila sababu ya kusema Asante kwa asubuhi njema ya leo Alhamisi tarehe 4 OKTOBA 2018 Tunakuja mbele zako kwa shukurani kuu.Tunaomba toba kwa yote ambayo tumekosa kwa mawazo,maneno matendo uturehemu Baba.Tujalie utu wema na tuwe msaada kwa kila mmoja wetu.tunakabidhi miili yetu na roho zetu ili tuishi maisha ya kukupendeza bariki kuingia na kutoka kwetu,bariki kazi za mikono yetu ..wabariki na kuwalinda watoto na wajukuu zetu malaika walinzi wawalinde popote watakapokua leo damu takatifu ya Yesu Kristo iwafunike na malaika walinzi wawazingire.
Baba fariji wafiwa na walio na changamoto mbalimbali wakuone wewe.wape tumaini wajane ,wagane,yatima na wahitaji wote.
Tunaomba bariki kazi za mikono yetu zizae matunda ya kukupendeza.waponye wagonjwa wote mahospitalini na majumbani watakase na takasa kila dawa wanayotumia.
Asante Baba maana umekuwa mwema kila wakati fadhili zako hazina mwisho.Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen.
ALHAMISI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO INENE MEMA NA
ITUFUNIKE


Cc@behaviourist
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom