Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hatujambo shedy za wwHabari zenu ndugu zanguni humu jukwaani
Hatujambo shedy za wwHabari zenu ndugu zanguni humu jukwaani
mtoto bado kabisa unalipa wewe!Hahahha mm ni muhenga ujue unavyoniita Bibi ni mulemule
Na me nilewe unikatae!?, ukifanikiwa nikataa itabidi nikuweke makumbusho!.Hahahha yaani nilewe mtu aniletee habari za kunitongoza sijui atapata salaam zake
Ukilewa utakuwa unajitambua kweli mm nijuavyo masanga yakikolea jeuri yote inaisha bosiHahahha yaani nilewe mtu aniletee habari za kunitongoza sijui atapata salaam zake
Shikamoo binamuAsubuhi njema Makapuku, nimekuona Tumosa asante binamu,nimekuona The Book , basi tuwasubiri wadau wa ma-news aunt yangu Shunie , na Numbisa , SHIMBA YA BUYENZE , Lyon Lee na bila kusahau hawa wafuatao nawashtaki kwa RC Tabora Da'Vinci , omarion5 , Slim5 , Mndali ndanyelakakomu , Mkushi Da Gama , dingimtoto , ABJ , Thad na wewe unayenisoma hapa
TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi asante kwa siku ya Jumanne Oktoba 2, 2018 Baba Tunaomba toba kwa makosa yote turehemu twakusihi.


AmenTUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi asante kwa siku ya Jumanne Oktoba 2, 2018 Baba Tunaomba toba kwa makosa yote turehemu twakusihi.
Siku ya leo anza nasi na simamia ratiba zetu zote.Tunaomba ponya wagonjwa,majumbani na mahospitalini,fariji wafiwa wape tumaini yatima wajane na wagane ..tupiganie tuijue kweli yako.Bariki kazi ya mikono yetu inua uchumi wetu Mfalme wa amani.Endelea kuwalinda watoto na wajukuu zetu wasimamie katika masomo yao na maisha yao ya kila siku.Walinde wasafiri nchi kavu,majini na angani waende na kurudi salama.tujalie Amani na umoja katika nchi yetu epusha maafa,ajali za mwili na roho zishindwe katika jina la Yesu Kristo.Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen
JUMANNE NJEMA NA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()