Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii jezi nikinunuliwa ndio binamu ataacha habari za jezi ninunuliwe tu jamani
Jezi inatakiwa og na maandaliz juu anko

Nmekwama kidogo ankoo reservation time inakata uskuu huu na kesho kasafarii ketu ntakwama awa ea tanzania una utaratibu gan nao ...ao nikose yale mambo ufurahi
...huyu ndo yule aliyemficha anko wangu wiki jana, kwani mlimuona huku na kisingizio chake eti alienda kufuatilia jezi ya manchester united
 
Hii jezi nikinunuliwa ndio binamu ataacha habari za jezi ninunuliwe tu jamani

...kila mara nikisikia sababu za wewe kutoipata hii jezi najiaminisha kabisa utasubiri sana. Anko wangu akiahidi kitu kukileta labda kama utalipia, zawadi kwake ni msamiati wa kiesperanto
 
Hahahahahaha hii juis naipendaga maeneo ya kinondonii kuna kijiwe changu cha hii kitu...kwa kuwa kinaongeza nguvu kama ulivosema ntampeleka anko

..ha hahhahaa, yaani hizi nguvu za kiume zinatufanya wanaume tujiandae utasema wapishi wa pilau, mara congo dust, mara tikitimaji la kuchemshwa, mara garlic, mara ky, mara erecto mara mihogo mibichi na karanga/korosho. Mara konyagi mara nini sijui.
Hizi maandalizi huzikuti kwa wapiga puli na kwa sisi wenye ndoa za muda mrefu ambapo sikunyingine unaweka mkono tu kuangalia kama ipo
 
...kila mara nikisikia sababu za wewe kutoipata hii jezi najiaminisha kabisa utasubiri sana. Anko wangu akiahidi kitu kukileta labda kama utalipia, zawadi kwake ni msamiati wa kiesperanto
Anko unaweza kuwa siliasiiii kidogo kwenye hili la jez
 
..ha hahhahaa, yaani hizi nguvu za kiume zinatufanya wanaume tujiandae utasema wapishi wa pilau, mara congo dust, mara tikitimaji la kuchemshwa, mara garlic, mara ky, mara erecto mara mihogo mibichi na karanga/korosho. Mara konyagi mara nini sijui.
Hizi maandalizi huzikuti kwa wapiga puli na kwa sisi wenye ndoa za muda mrefu ambapo sikunyingine unaweka mkono tu kuangalia kama ipo
wewe si kila siku inatumika utawekajee kudhibitishaa
 
..ha hahhahaa, yaani hizi nguvu za kiume zinatufanya wanaume tujiandae utasema wapishi wa pilau, mara congo dust, mara tikitimaji la kuchemshwa, mara garlic, mara ky, mara erecto mara mihogo mibichi na karanga/korosho. Mara konyagi mara nini sijui.
Hizi maandalizi huzikuti kwa wapiga puli na kwa sisi wenye ndoa za muda mrefu ambapo sikunyingine unaweka mkono tu kuangalia kama ipo
Binamu ky kumbe inaongeza nguvu za kiume khaaaa
 
Binamu umenishinda kiukweli
....wanasemaga chagua moja bila kujua kuwa unaweza kujagua zaidi ya moja. wewe kaa ukijua tu kwenye ramadhani nafunga na kwenye Krisimasi napokea zawadi. maisha ya kambale. Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom