Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu niombee nipatiwe maombi pm!
Ngojaaa upigweee mimi simo
unnamed-5.gif
 
SABABU KUMI KWANINI UNATAKIWA KUANZA KULA TENDE

1.Huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora!

2.Huzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa anemia kutokana na kuwa na madini mengi ya chuma.

3.Hupunguza uwezekano wa kupata Kiharusi (stroke) kwani hazina cholesterol kabisa! Pia zina vitamini na madini kwa wingi.


4. Huongeza uwezo wa Kujamiiana kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha nguvu

5.Hupunguza madhara ya pombe mwilini na kurudisha afya ya mtu.
Nasikia na nguvu za kiume eti kwenye juice ya tende

Cc Lyon Lee
 
MADHARA 10 YA KUTUMIA SHISHA! (VIJANA WENGI HAWAJAYAJUI)

1.Kansa
Licha ya kupita ndani ya maji, moshi wa shisha huwa na kiwango kikubwa cha carbon monoxide na nicotine ambazo humfanya mtumiaji awe kwenye hatari kubwa ya Kupata Tatizo la kansa ya koo, ama mapafu.

2.Matatizo ya Moyo
Moshi na tumbaku husababisha mishipa ya damu ya artery Kuziba, Matokeo yakemoyo hushindwa kufanya kazi kwa ufanisi wake.
3.Huharibu Fizi (periodontal disease)
Hii hutokana na kuongezeka kwa kiasi cha sumu ya nicotine kwenye damu na fizi matokeo yake ni kuharibika kwa fizi na kupata matatizo ya meno.

4. Fangasi na Kifua kikuu (TB)
Kutokana na kutosafishwa vizuri kwa bomba za kuvutia shisha (hasa kutokana na wengi kujali kipato kuliko afya za watu) Mtumiaji hujiweka kwenye hatari kubwa ya Kupata magonjwa ya kuambukizwa kama fangasi, au hata vidonda vya tumbo kwa kuvuta kimelea cha helicobacteria

5.Kuzaa Njiti (mtoto mwenye uzito mdogo)
Hii ni kwa wanawake wanaotumia shisha wakiwa wajawazito. Pia mtoto huyo ni rahisi kuwa na magonjwa yanayohusiana na upumuaji
Aiseeee
Kumbe shisha ndio ina madhara hivyo
Poleni watumiaji
 
Msichana mwenye makalio makubwa obvious atakuwa na nyama nyama kwenye mapaja hii nyama nyama zinakuwa na act kama chock absober na kucushion ile hiting force ,especially when adrenaline na sympathetic flow is at peak and s3x is becoming hardcore, katika situation hiii , kimbau mbau anaweza teguka nyonga. if ur not doing that smoothly.
Eeenh
 
MAAJABU KUMI (10) AMBAYO HUJUI KAMA MWILI WAKO HAUWEZI KUYAFANYA
10. Huwezi Kuandika Namba Sita Ukiwa Unazungusha Mguu Wako Wa Kulia Mwelekeo Wa Saa (Clockwise).Kaa Kwenye Kiti, Nyanyua Mguu Wako Wa Kulia Juu, Kisha Anza Kuuzungusha Kwa Duara Kwa Kufuata Muelekeo Wa Saa (Yaani Kutoka Kushoto Kwenda Kulia) Endelea Kufanya Hivyo Huku Unaandika Nambasita (6). Umegundua Nini? Mguu Wako Umegeuka Na Kuanza Kuzunguka Muelekeo Wa Kushoto!!

9. Huwezi Kurusha Mate Ukiwa Umeachama Mdomo!


8. Huwezi Kunyanyua Kidole Chako Cha Pete Katika Hali Ifuatayo;


Kunja kidole chako cha katikati juu ya meza ukiviacha vidole vyako vinne vikiwa vimenyooka kama inavyoonekana kwenya picha kushoto. Jaribu kunyanyua dole gumba, kisha nyanyua kidole kinachofuata, na kidole kidogo cha mwisho... rahisi sio?? SASA nyanyua kidole cha pete... kimegoma!
 
MAAJABU KUMI (10) AMBAYO HUJUI KAMA MWILI WAKO HAUWEZI KUYAFANYA
10. Huwezi Kuandika Namba Sita Ukiwa Unazungusha Mguu Wako Wa Kulia Mwelekeo Wa Saa (Clockwise).Kaa Kwenye Kiti, Nyanyua Mguu Wako Wa Kulia Juu, Kisha Anza Kuuzungusha Kwa Duara Kwa Kufuata Muelekeo Wa Saa (Yaani Kutoka Kushoto Kwenda Kulia) Endelea Kufanya Hivyo Huku Unaandika Nambasita (6). Umegundua Nini? Mguu Wako Umegeuka Na Kuanza Kuzunguka Muelekeo Wa Kushoto!!

9. Huwezi Kurusha Mate Ukiwa Umeachama Mdomo!


8. Huwezi Kunyanyua Kidole Chako Cha Pete Katika Hali Ifuatayo;


Kunja kidole chako cha katikati juu ya meza ukiviacha vidole vyako vinne vikiwa vimenyooka kama inavyoonekana kwenya picha kushoto. Jaribu kunyanyua dole gumba, kisha nyanyua kidole kinachofuata, na kidole kidogo cha mwisho... rahisi sio?? SASA nyanyua kidole cha pete... kimegoma!

...duh, nimejaribu kuandika namba 6 nimeshindwa, nahitaji mazoezi mengine, wikend labda nikiwa kwenye khali isiyo sawa
 
SABABU KUMI KWANINI UNATAKIWA KUANZA KULA TENDE

1.Huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora!

2.Huzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa anemia kutokana na kuwa na madini mengi ya chuma.

3.Hupunguza uwezekano wa kupata Kiharusi (stroke) kwani hazina cholesterol kabisa! Pia zina vitamini na madini kwa wingi.


4. Huongeza uwezo wa Kujamiiana kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha nguvu

5.Hupunguza madhara ya pombe mwilini na kurudisha afya ya mtu.

...hapa namba tano ndo napopapenda sana, ikianza Ramadhan napumzika, ni mwendo wa kudoea tende tu masjid sikujua huwa nafanya utaratibu mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom