Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tapatalk_1536779357107.gif
 
Binamu shikamoo jamani nimeshakuwekea magazeti si unajua nikiwa sipo unavyoyamiss
Asante sana, nimeyasoma. Ujue ndugu yako mimi ninayasomaga wa mwisho ili kuondoa kero za wanywa keroro kuomba kurasa za michezo. Huwa sichoki kukuambia asante ujue. Na siku hizi Numbisa naye ananenepa kwa Asante zangu ninazompa kila nikisoma makala zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom