Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
NdiwoooooWoyoooo
Watu na watu zao
Imebuma nn binamu
Nitapandishwa kwa kubebwa binamu
No 1 inanihusu kabisa kucha zangu za mkono wa kulia kila siku zinabaki vibubutuUKIJIZOEZA TABIA HIZI KUMI, NI NGUMU SANA KUZIACHA
1.Kung’ata kucha.
2.Kuliza viungo vya mwili (Cracking joint) kama vidole nk.
3.Kuvuta maneno “ummm” au “aaaaah” kila unapotaka kusema jambo. Mfano aaaah unajua… ummm sio kweli…
4.Kulamba kidole kabla ya kufanya kazi au kufungua ukurasa wa kitabu.
5.Kuchezea chezea nywele.(akina dada)
6.Kutawaliwa na mitandao ya kijamii.
7.Kuvuta wa sigara, Ugoro nk.
8.Kula ovyo, ofisini, nyumbani, njiani, Au wengine huamka usiku wa manane kula.
9.Umbea(gossiping). Kuna watu hawawezi kujizuia kutunza Siri.
10.Kujichua (Kupiga punyeto.)
MAMBO KUMI YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUACHA POMBE
1.Kama ni mlevi uliyebobea na unahisi huwezikuacha kwa siku moja, anza kwa kupunguza kiwango cha kunywa, yaani kama unakunywa bia tatu kwa siku, anza kunywa moja, baadae moja kwa siku mbili mpaka utakapozoea kuishi bila pombe.
2.Epuka kuweka kilevi au pombe nyumbani au sehemu ya kazi ili kuepuka majaribu.
3.Usipende kuruka mlo, kula chakula mara 3 mpaka nne (4) kwa siku ili kuupatia mwili virutubisho vyote muhimu.