Makapuku Forum

Makapuku Forum

kwanini watu wanachokana wakionana!?..
Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona

Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda ww kumbe mshamba flani hivi

Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwisho kuna nn hapo zaidi ya kupishana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom