Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
zimechanganyika sana tatizo!..Mh umeanza sasa kusema hizo no zote zinakuhusu
zimechanganyika sana tatizo!..Mh umeanza sasa kusema hizo no zote zinakuhusu
Leo sitaki kukukorofisha nakubali yote!.. Ni kweli mama!.
Ila nina kamsemo kangu "uumbaji haukuishia pale!" 😉
zimechanganyika sana tatizo!..
kwanini watu wanachokana wakionana!?..Hahaha eti leo hutaki kunikorofisha uumbaji upi huo babe ambao haujaishia pale
Nalifahamu hilo ndio mana nakuvumilia sana ujue kuwa na mwanaume mwenye mambo mengi na kumvumilia ni kipaji


ndio vizuri mwanaume unatakiwa kuwa bizy bana!.Nko poa mimi mkuu za weweShunie tumosa bila shaka mko poa
Hahaha!! Pilau la arusha hilo nimelikumbukaWoyooooo maharage ungeyatoa hapo bana
Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosiUchome na mishikaki![]()
![]()
![]()
Acha kije tuUnapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi

Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuonakwanini watu wanachokana wakionana!?..







kumbe mshamba flani hivi


kuna nn hapo zaidi ya kupishana
Hao wanatoka migomigo eenhWazee wa migo migo center Malcolm na wick habarini ya asubuhi
Tupo poa mzee wa chelsea habari yakoShunie tumosa bila shaka mko poa
Mm napenda sana mishkaki na beer mbona sina kitambiUnapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi