Makapuku Forum

Makapuku Forum

kwanini watu wanachokana wakionana!?..
Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona

Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mshamba flani hivi

Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna nn hapo zaidi ya kupishana
 
Back
Top Bottom