Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona
Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda wwkumbe mshamba flani hivi
Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwishokuna nn hapo zaidi ya kupishana

Lakini Age are just numbers!. Halafu uzuri upo kwenye character not the look!. Mfano ukanikuta ni katoto tutapishana!?🙂Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona
Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda wwkumbe mshamba flani hivi
Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwishokuna nn hapo zaidi ya kupishana
Salama mzee, weekend vipi!?Wazee wa migo migo center Malcolm na wick habarini ya asubuhi
ARSENAL, a Gunner here!!.Wale fans wa team zetu pendwa tukutane kwenye majukwaa yetu ya football
Zangu ni poa sifa kwa anaetoa pumziNko poa mimi mkuu za wewe
We huwajui vizuriHao wanatoka migomigo eenh

Njema shunieTupo poa mzee wa chelsea habari yako
Weekend yangu itaishia kwenye viwanja vyetu vya footballSalama mzee, weekend vipi!?
Nimepita jukwaani kuleARSENAL, a Gunner here!!.
Lakini Age are just numbers!. Halafu uzuri upo kwenye character not the look!. Mfano ukanikuta ni katoto tutapishana!?🙂
Siwajui mm kumbe watoto wa mjiniWe huwajui vizuri![]()
Njema shunie
Subiri miaka kadhaa ipite utaanza kuhangaika mara gym, kina kuja mara kwa dokta mwakaMm napenda sana mishkaki na beer mbona sina kitambi

Eeh umeamua kabisaAcha kije tu![]()
![]()
![]()
![]()
Subiri miaka kadhaa ipite utaanza kuhangaika mara gym, kina kuja mara kwa dokta mwaka![]()