dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Unabishana na ukweli huoni wadada wanavohangaika kwenye ma gym me nasubir mrejesho, unless uwe unafanya mazoeziHakuna nabisha
Unabishana na ukweli huoni wadada wanavohangaika kwenye ma gym me nasubir mrejesho, unless uwe unafanya mazoeziHakuna nabisha
Sifanyi mazoezi na kitambi sina mmUnabishana na ukweli huoni wadada wanavohangaika kwenye ma gym me nasubir mrejesho, unless uwe unafanya mazoezi
Bongo or EPL!?..Weekend yangu itaishia kwenye viwanja vyetu vya football
La kuweka mikeka au kuna jukwaa la mpira!?.. Betting me sifanyi boss!.Nimepita jukwaani kule
Kote koteBongo or EPL!?..
Ngoja nile mchicha nikuekue tusije pishana kituoni bure!..🙂Hahhaha baby daddy tunaanzaje kupishana kwa mfano ila umenichekesha sana
Hongera yakoSifanyi mazoezi na kitambi sina mm
Yani bebe me na Arsenal huwezi tenganisha. Naipenda ile timu balaa. Uje tushangilie wote!.arsenal kumbe
We huwajui vizuri![]()
ngoja nikawasafishe ng'ombe wangu j3 mnadani.aahh Bongo sio shabiki mie!.. labda Singida United au Azam, au Mbao😀Kote kote
Mimi simba sc kwa hapa bongo
La kuweka mikeka au kuna jukwaa la mpira!?.. Betting me sifanyi boss!.









ebu hurumia mbavu zangu
Ngoja nile mchicha nikuekue tusije pishana kituoni bure!..🙂
Yani bebe me na Arsenal huwezi tenganisha. Naipenda ile timu balaa. Uje tushangilie wote!.
ngoja nikawasafishe ng'ombe wangu j3 mnadani.
Nililiwa sana hela!..Hahahaha kwa nn hufanyi betting
Ndakupa nyingine 😀ebu hurumia mbavu zangu
Mpira mzuri upo Gunners mama!..Mashabiki wa arsenal mna roho ngumu sana hapana babe mm siwezi kuja kushangilia arsenal