Duh!.. ina maana....!!?nacheka mm pole kwa yaliyokukuta ulikosea tu labda kama mlionana mapenzi ya humu kubebishana yaani msijuane au kuonana ndio inakuwa utamu
Kuna kitu umeandika hapa kina point yako msingi sananacheka mm pole kwa yaliyokukuta ulikosea tu labda kama mlionana mapenzi ya humu kubebishana yaani msijuane au kuonana ndio inakuwa utamu
Sawasawa mzeeItapendeza sana sisi wengine wazee
Sasa, kuna wengine wale wa xx ndio siwaelewagi kabisa bora asiandike mesejiYaani upo kama mm yaan huwa hata kusoma siwezi halafu mtu akiandika kiufupi namuona mtoto wangu kabisa
Sasa, kuna wengine wale wa xx ndio siwaelewagi kabisa bora asiandike meseji
Aiseee

Aiseee
Hiv mama mchungaji kapotealea wapiYaan acha tu wanakera sana jamani mm mtu akiniandikia hivyo namwambia mm sio mtoto mwenzio kama huwezi kuandika vizuri usitume text