Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20180915-113045.jpeg
 
Kweli nakwambia ukitaka kuharibu tu kubebishana na mtu mruhusu akujue au mjuane mtakuwa mnapishana kama kaka na dada hii nimeshaichunguza sana mm raha ya kubebishana msijuane hata pm huko msichat uongo baby daddy Wick
Leo sitaki kukukorofisha nakubali yote!.. Ni kweli mama!.

Ila nina kamsemo kangu "uumbaji haukuishia pale!" 😉
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom