EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Sembuse na wiki moja!Jana kwenyewe kukosekana hewani tu ilikuwa ni zaidi ya kifungo cha miaka 10 jela
Sembuse na wiki moja!Jana kwenyewe kukosekana hewani tu ilikuwa ni zaidi ya kifungo cha miaka 10 jela
Sasa kumbe vepeeSio kusoma bure...mmwage na likes za kufa mtu
....................................
Jinsi ya kuenjoy JF
.........................................
Mahakamani hamna utetezi wa sikujua, hata siku moja. Pole sana lakini ni moja ya viroja vya jfKwani mimi najua jinsia yake?
Je kama mimi nilijua ni mwanamke..
Sembuse na wiki moja!
wek haifai kwa kwel
Wauza supu ya![]()
Luk y'a Gardner & Giggy
.....................

Mahakamani hamna utetezi wa sikujua hata siku moja. Pole sana lakini moja ya viroja vya jf
ila kiukwel nilizidi sana kuwasumbua wakongwe..Bila shaka zimefika!Sio kusoma bure...mmwage na likes za kufa mtu
....................................
Jinsi ya kuenjoy JF
.........................................

Habari yako shemeji.Khaaaa
Leo kapuku's wamechelewa kuamka
Bitoz
youngblood
lizziebettie
Jimena
jambilo
Linamo
Musolin
Th Name
EMMYGUY
Na wengine woteeeee
Brother ilikuwaje tena.Baaada ya kupigwa BAN sasa nimerudi kivingine.
MAKAPUKU WENZANGU NILIWAMISS SANA..
Ila sasa tuko pamoja
~Jonax
View attachment 346787
Kauli mbiu; hatuchokozi na wala hatukubali kuonewaila kiukwel nilizidi sana kuwasumbua wakongwe..
Naza. Walinivumilia sanaaaa
Kwasababu ulikesha kusubiri huruma za NahreneHabari yako shemeji.
Leo nimechelewa sana kuamka.
Acha tu.Kwasababu ulikesha kusubiri huruma za Nahrene
Next time utumie majina yasiyotambulisha Jinsia, pole ila life goes onKwani mimi najua jinsia yake?
Je kama mimi nilijua ni mwanamke..