Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Hahaha![]()
![]()
weka asali mkuuu
Aaaah bei ya Asali nliuliza ikabid ni pretend kama uwa situmii
Iko juu sana
Hahaha![]()
![]()
weka asali mkuuu
HahaaaaaNimeamkaa nipo kwenye foleni....
Raha ya foleni kuchat
Bora asubuh tuwe tunakunywa kilimanjaro twist 1500 tuuuuHahaha
Aaaah bei ya Asali nliuliza ikabid ni pretend kama uwa situmii
Iko juu sana

Mie niko poaaaa...Am gud, napiga zoez la kunywa chai bila sukari apa
Umiamka salama!?
Mie niko poaaaa...
Pole aisee me bora nihamie kwa twist tuuu
Hahaha alternative yako imetshaBora asubuh tuwe tunakunywa kilimanjaro twist 1500 tuuuu![]()
![]()
Hahaaaaa
Mzee WA foleni
Na mie ndio naelekea kijiwe cha kutafuta pesa
Kama kawa huku ni baridi kaliii
Shem nenda kasaini hapaAkuu
Mie stakiii
Supu ya churaaa![]()
hiyooo

Sinaga hiyana mieNakupendaga bure...
![]()
![]()
![]()
![]()
..............
Nakuaminia sio km yule nanihii fake KAPUKUSinaga hiyana mie
"LeT LoVe LeAd "![]()
![]()
![]()
Cc
All kapukus
Pamoja sanaaaNakuaminia sio km yule nanihii fake KAPUKU
............
Pole nilifikiri ni mgeniBaaada ya kupigwa BAN sasa nimerudi kivingine.
MAKAPUKU WENZANGU NILIWAMISS SANA..
Ila sasa tuko pamoja
~Jonax
View attachment 346787
Morning wifi, mi siku zote huwa ni wa mwisho kuamka saa zangu huwa zipo nyuma yenu kidogo...Khaaaa
Leo kapuku's wamechelewa kuamka
Bitoz
youngblood
lizziebettie
Jimena
jambilo
Linamo
Musolin
Th Name
EMMYGUY
Na wengine woteeeee
Morning all
Habari zenu wakuu
Salama kabsa
Mornin
Good moniiii
Inaonekana wewe ni mlinzi mzuri wa likes zetu humu ndani.bado makapuku mmelala twendeni tukajenge Taifa.
swissme