Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Uwege unaAcha tu.
Yani alipotea sikumuona tena.
siku akiamua basi utamuona tuKampa kampa tenaHapana
Kapewa zawadi
.................
Supu inaungwa au?
Yani umesubiri niharibu alafu ndiyo unanipa ushauri.Uwege una![]()
![]()
![]()
siku akiamua basi utamuona tu
Dadake habariKampa kampa tena
Jonax kapewa tena siku 7
Poa sana shemHabari yako shemeji.
Leo nimechelewa sana kuamka.
Kwani kabla ya kuharibu ulinishirikisha?? Si uliamua mwenyewe???Yani umesubiri niharibu alafu ndiyo unanipa ushauri.
Niko poa kabisa.Poa sana shem
Mzima weye ???
Ana chura lakiniMuulize huyu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..,...,....
yap, sijui wewe mkuu?Umeamka salama????
Hapa kapendeza sana ila sasa tatizo nguoooooMuulize huyu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..,...,....
Kwani kabla ya kuharibu ulinishirikisha?? Si uliamua mwenyewe???
basi siku nyingine nitakushirikisha dada.Safi, mambo?Dadake habari
safi, jana nilionaNi nzuri sana

zako za kutosha kule kwenye uzi wangu wa Camilo..thanx sana be blessed!!teh teh jaribu kuweka chumviAm gud, napiga zoez la kunywa chai bila sukari apa
Umiamka salama!?
Nguo zinamuwashaHapa kapendeza sana ila sasa tatizo nguooooo
Baridi kali...Khaaaa
Leo kapuku's wamechelewa kuamka
Bitoz
youngblood
lizziebettie
Jimena
jambilo
Linamo
Musolin
Th Name
EMMYGUY
Na wengine woteeeee
Hivi vitu vikianikwa vinapoteza ladhaAna chura lakini