Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hahahahahahahaha nakutania tu usikonde![]()
![]()
![]()
![]()
Sijui nikipigwa Ban na hii ntakimbilia wapi mimi?
NOOO, usifanye hvyo dada ntakupa likes za kutoshaaaaaaa
Hahahahahahahaha nakutania tu usikonde![]()
![]()
![]()
![]()
Sijui nikipigwa Ban na hii ntakimbilia wapi mimi?
NOOO, usifanye hvyo dada ntakupa likes za kutoshaaaaaaa
Kumbe sio ndefu, sasa ole wako uendelee kunibania likes uone kama na mi sisababishi upigwe ban na kwenye hii
Jamaa ni wazinguaji balaa, pole sana Mkuu.Ndo hivyo bitoz mkongwe kanisababishia nikalambwa Ban.
Yani kisa nmemjibu "nmekuelewa mrembo"
Sasa hapo nmefanya kosa gani?
tuko sasa tunajenga taifa mkuuWapi huko?
Asubuhi hiii??ukiwa unafanya kazi raha sana.sasa ninakwenda lunch waooo.
swissme

Hii Ban ya tatu sasa kupata hapa Jf.Jamaa ni wazinguaji balaa, pole sana Mkuu.
Ndo hivyo bitoz mkongwe kanisababishia nikalambwa Ban.
Yani kisa nmemjibu "nmekuelewa mrembo"
Sasa hapo nmefanya kosa gani?
Mkuu kama umeita mtu mrembo na sio mrembo hapo ndo kosa lenyewe. Epukana na watu wanaokulenga wewe badala ya point uliyotoa, ukimjibu vzur anaanza kulia na mods.Kwani mimi najua jinsia yake?![]()
![]()
Mkuu kama umeita mtu mrembo na sio mrembo hapo ndo kosa lenyewe. Epukana na watu wanaokulenga wewe badala ya point uliyotoa, ukimjibu vzur anaanza kulia na mods.
Pitia uzi flan wa Bitoz jinsi ya kuinjoi Jf bila shaka upate ka mwanga zaidi
Hata mimi nimeshangaa!!Khaa umemsahau manuu
mimi nikiwa online lazima nimwage likes za kutosha..
ucjal.. ntakupa likes za hela yoteSio kusoma bure...mmwage na likes za kufa mtu![]()
![]()
Mkuu kama umeita mtu mrembo na sio mrembo hapo ndo kosa lenyewe. Epukana na watu wanaokulenga wewe badala ya point uliyotoa, ukimjibu vzur anaanza kulia na mods.
Pitia uzi flan wa Bitoz jinsi ya kuinjoi Jf bila shaka upate ka mwanga zaidi