Makapuku Forum

Makapuku Forum

1463031070086.jpg
1463031076125.jpg
 
Ndo hivyo bitoz mkongwe kanisababishia nikalambwa Ban.
Yani kisa nmemjibu "nmekuelewa mrembo"
Sasa hapo nmefanya kosa gani?
Mkuu kama umeita mtu mrembo na sio mrembo hapo ndo kosa lenyewe. Epukana na watu wanaokulenga wewe badala ya point uliyotoa, ukimjibu vzur anaanza kulia na mods.
Pitia uzi flan wa Bitoz jinsi ya kuinjoi Jf bila shaka upate ka mwanga zaidi
 
Mkuu kama umeita mtu mrembo na sio mrembo hapo ndo kosa lenyewe. Epukana na watu wanaokulenga wewe badala ya point uliyotoa, ukimjibu vzur anaanza kulia na mods.
Pitia uzi flan wa Bitoz jinsi ya kuinjoi Jf bila shaka upate ka mwanga zaidi
Sio kusoma bure...mmwage na likes za kufa mtu
....................................
Jinsi ya kuenjoy JF
.........................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom