Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Khaaaaaa maka jamani
Ndio kibuzi chake nini!?
Ndio kibuzi chake nini!?









🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
We bhana wee!! Usilete songombingo la kaboka mchizi. Kesho kutoa godoro nje mtu mzima mimi ni aibu mzee mwenzangu.
Shikamooni jamani
Uwashe moootoo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shikamoo mke mweee




sasa hapo nani ataitikia shkamoo ya mwenzie
Unakaza nikikaza unaniambia matusi.








Hujakosea binamu nilikuwa na usiku mwanana
...nilijua tu maana kabla ya jamaa kuja ulikuwa na hasira kama mwanachadema aliyehamia ccm. Ila siku mbili hizi umejaa tabasamu kama dalali wa makontena ya mkuu wa mkoa
Akikojoa tu kesho asubuhi namfungashia kirago aende akalikaushie kwao huko.









Nashukuru shunie akeee
Kula hizo![]()
![]()
kwanza za mashavu.
HahahahaaMfyuuuu
Hivi binamu huyu mkweo kwa anko wako ananichukuliaje mie,,,nimeshamjibu, ajiangalie sana wiki bado mbichi kabisa hii asikuharibie, kwani kakuona umvaa gagulo, nyanyapensi, chupi ya resiresi na vitenge vya malawi? Akuache
,,,nimeshamjibu, ajiangalie sana wiki bado mbichi kabisa hii asikuharibie, kwani kakuona umvaa gagulo, nyanyapensi, chupi ya resiresi na vitenge vya malawi? Akuache












nimecheka uwiiih
MfyuuuuuuuuMpk aache kusema shkamoo
Nimeuliza tu shunie akee jamani!!Khaaaaaa maka jamani