Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Khaaaaaa maka jamani
Ndio kibuzi chake nini!?
Ndio kibuzi chake nini!?
Kikojozi mwenzie
...mmmh, hilo kopo lisiwe la bati, mikojo inaunguza,
We bhana wee!! Usilete songombingo la kaboka mchizi. Kesho kutoa godoro nje mtu mzima mimi ni aibu mzee mwenzangu.
Shikamooni jamani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa hapo nani ataitikia shkamoo ya mwenzieUwashe moootoo[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Shikamoo mke mweee
Unakaza nikikaza unaniambia matusi.
Hujakosea binamu nilikuwa na usiku mwanana
...nilijua tu maana kabla ya jamaa kuja ulikuwa na hasira kama mwanachadema aliyehamia ccm. Ila siku mbili hizi umejaa tabasamu kama dalali wa makontena ya mkuu wa mkoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akikojoa tu kesho asubuhi namfungashia kirago aende akalikaushie kwao huko.
Nashukuru shunie akeee
Kula hizo [emoji8] [emoji8] [emoji8] kwanza za mashavu.
HahahahaaMfyuuuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwendraaaaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hivi binamu huyu mkweo kwa anko wako ananichukuliaje mie,,,nimeshamjibu, ajiangalie sana wiki bado mbichi kabisa hii asikuharibie, kwani kakuona umvaa gagulo, nyanyapensi, chupi ya resiresi na vitenge vya malawi? Akuache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka uwiiih,,,nimeshamjibu, ajiangalie sana wiki bado mbichi kabisa hii asikuharibie, kwani kakuona umvaa gagulo, nyanyapensi, chupi ya resiresi na vitenge vya malawi? Akuache
MfyuuuuuuuuMpk aache kusema shkamoo
Nimeuliza tu shunie akee jamani!!Khaaaaaa maka jamani