Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kapuku mwenye asters ajitokeze tufanye debate

....unamaanisha nini hapa?
shit.gif

0c72e50f25cb922fd5cc47769fc60203c6660e8f
 
Muziki: Hata Mimi Sielewi

...unaweza kusema chochote unachotaka, nchi huru hii na ndiyo maana mimi kwa kutumia uhuru wangu usio na mipaka wala mbwa Hobby ninakusalimia wewe Kapuku ambaye unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu znuri kuwepo. Inawezekana narudiarudia sana haya maneno, vumilia tu na una uhuru wa kuchukia kama yanakuudhi na ikiwa ni tofauti basi furahia maana wewe ni mtu bora sana hapa.

Leo ni Jumatano, kama ulikuwa hujui ninakujulisha sasa na kukutakia wakati mzuri ulionao wakati unaburudika na huu muziki ninaoupenda zaidi.

 
Makapuku naomba kuuliza!
Mechi ya SIMBA na ARUSHA UNITED pale sheikh Amri Abeid matokeo yakoje! Mana mi nipo huku Msata nakata Mkaa!
 
Hivi humu Makapuku hamna Ma Dr wale wa Binadamu? Nataka TU kujua kama Mawazo yanachangia kupata vidonda vya tumbo! Vipi kuhusu ndoto? Ndoto zetu hazitusababishii ulcers? Mimi Ktk hobby zangu, ndoto ni No. 1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom