Makapuku Forum

Makapuku Forum

"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."

Methali 3: 24

Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema
 
kama nakuona vile,,, kila mziki wako shunie
Ninge acha nikuage uwe na usiku mwema ulindwe na damu ya Yesu kama we ni muislam nisamehe tu kwa kulindwa na damu ya Yesu

Net inasumbua sana jamani yaan sina raha acha nilog out tu

Nimefurahi sana leo tumejumuika pamoja karibu tena na tena ujisikie upo nyumbani ujisikie kama upo jukwaa la likes nakupenda tu shunie mm
 
Ninge acha nikuage uwe na usiku mwema ulindwe na damu ya Yesu kama we ni muislam nisamehe tu kwa kulindwa na damu ya Yesu

Net inasumbua sana jamani yaan sina raha acha nilog out tu

Nimefurahi sana leo tumejumuika pamoja karibu tena na tena ujisikie upo nyumbani ujisikie kama upo jukwaa la likes nakupenda tu shunie mm
Sawa shunie,,, usijari aisee,,, Yesu kwetu ni Issa
Uwe na usiku mwema pia,,, shukrani sana kwa mapokezi mazuri na nmefurahia pia,,nmefarijika kuwa pamoja nanyi leo hakika tutakuwa wote
Nakupenda pia shunie,,, usiku mwema
 
akitupa hyo simu uniambie

...kumbe na wewe unaitaka hii hihihiiii, nikishaiokota nitakutag

img_20180812_231918-jpg.834372
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom