Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Marhabaaaaaa hujambo mdogo wnguMfyuuuu![]()
Marhabaaaaaa hujambo mdogo wnguMfyuuuu![]()
Shikamoo mkuu mbona haumkaribishi mgeni hujamuona auMarhabaaaaaa hujambo mdogo wngu
Ninge binamu yetu anakuwaga wa mwisho kujua kila kitu
nmemfahamu binamu aiseekwahiyo mm sio mlevi usiombe sasa tuwe club nimelewa nachezaje jamani shunie mm
kama nakuona vile,,, kila mziki wako shunie
![]()
![]()
nmemfahamu binamu aisee


Yeye kila kitu wa mwisho kujua mnaweza mkawa mnaongea kitu wenyewe mpo busy anakuja tu kati kati anauliza kwani mnazungumzia nn mbona mm humu kila kitu wa mwisho kujua
Acha kabisa halafu sasa ajipendekeze mwanaume kutaka kunibambia yaani![]()
![]()
kama nakuona vile,,, kila mziki wako shunie









povu atakalokutana nalo atajuta
Ninge acha nikuage uwe na usiku mwema ulindwe na damu ya Yesu![]()
![]()
kama nakuona vile,,, kila mziki wako shunie

kama we ni muislam nisamehe tu kwa kulindwa na damu ya YesuYeye kila kitu wa mwisho kujua mnaweza mkawa mnaongea kitu wenyewe mpo busy anakuja tu kati kati anauliza kwani mnazungumzia nn mbona mm humu kila kitu wa mwisho kujua
sawa shunieSawa shunie,,, usijari aisee,,, Yesu kwetu ni IssaNinge acha nikuage uwe na usiku mwema ulindwe na damu ya Yesukama we ni muislam nisamehe tu kwa kulindwa na damu ya Yesu
Net inasumbua sana jamani yaan sina raha acha nilog out tu
Nimefurahi sana leo tumejumuika pamoja karibu tena na tena ujisikie upo nyumbani ujisikie kama upo jukwaa la likes nakupenda tu shunie mm
Shikamooo binamu
Jamani mm tigo inasumbua sana internet yaan mpaka natamani kutupa simu mda si mrefu nawaaga
....utaitupia wapi nije niiokote maana kuna mtu nimemuahidi simu, sitaki kuingia gharama za simu mpya. Ukiitupa usisahau kutupa na chaja kabisa
akitupa hyo simu uniambie![]()
![]()
![]()
akitupa hyo simu uniambie
Ndio binamu...kumbe na wewe unaitaka hii hihihiiii, nikishaiokota nitakutag
![]()
