Iko poaFriday Leo inakuaje huko
Mko wapi sasa ,baada ya kazi ni wakati wa biaIko poa
Shikamooo mjomba wa akina wawiliMzima ww?
Mzima mimi
Tupo hapahapa kfMko wapi sasa ,baada ya kazi ni wakati wa bia
Asanteee mama wawili, mzima ww? na wana je?Shikamooo mjomba wa akina wawili
Kf ndio wapi?Tupo hapahapa kf
Hatujambo kabisaAsanteee mama wawili, mzima ww? na wana je?
Niko poa mimi
Mungu ni mwema sanaHatujambo kabisa
Pole na majukumu
jaman jamanShangazi embu fanya kama unapepea na kusogeza mafiga vizuri huu moto uwake (moneytalk amenimaliza)
Shemela utanisamehe nimechoka kuweka avatar za watu nitashtakiwa na basata sasa hivi najiweka mwenyewe

Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
duuh wimbo wako nimeupendaJaman jamani niokoe mwenziojaman jaman