Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Mimi pia sipati Rafiki cjui ttz nnHivi ni mm sipati notifications au na nyinyi acha nilog out
Mimi pia sipati Rafiki cjui ttz nnHivi ni mm sipati notifications au na nyinyi acha nilog out
Jamani binamu Mungu amfanyie wepesi mama apone na pole na ww kwa kuuguza binamu lazima na ww uumwe binamu mwili mmoja..asante kushukuru aunt, Mama yenu, ambaye bahati mbaya sana mimi ni mume wake anaumwa yaani hata mimi ninaumwa hapa. Ndo nikaona niandike maneno ya kumfariji apone haraka
Shemela za jioni
Basi itakuwa ni tatizo la wengiMimi pia sipati Rafiki cjui ttz nn
Mtaasisi vipMuziki: Pona Haraka
...unaweza ukadhani huumwi, kila mtu na maradhi yake, maradhi yangu siyo yako na siku zote homa sio malaria , kaa unalijua hili na kama ndo unalisikia leo basi usiache kupokea salamu yangu ya upendo kwako wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kutochusha. Asante Shunie kwa Je Wajua, imeandikwa kwa lugha rahisi sana kiasi kwamba hata ambaye moja haiingii mbili haikai (hayumo humu MF) nikimpelekea asome ataelewa na kuongeza maarifa.
Maradhi yako yasisumbue wengine bila taarifa, ukitaka yatusumbue basi tujulishe mapema, huu ni mwaka tofauti, mwaka wa roho mbaya kama sikupendi na kinyume chake. Hivi ninaandika nini, hiki si kipengele cha muziki na kesho ni furahiday...anyway, tuna tofauti, furahia maradhi yako kama daktari yuko mbali ishi nayo, ni yako na ninakutakia kupona haraka. Nimechanganya na tafasiri unavyoweza, yaani two in 1 kama twaarabu ya MY mlokole wa kiislam, usiniharibie siku yangu nami nitakaa mbali na siku yako
Salama shemela za wwShemela za jioni
Amen"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."
Methali 3: 24
Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema![]()
Mtaasisi vip
Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
Avatar avatar avatar avatar
Shemela rudisha avatar yako ile ya zamani please naomba sana shemela wanguMakubwa haya unaongea na simu au
Shemela rudisha avatar yako ile ya zamani please naomba sana shemela wangu
Yupo kinyereziMarahaba shem..
Nipe location ya shululu hebu kwanza

Weekend inaanza na Ride it by Jay sean.
Ladies you know how it looks when "you ride it"

Ile ya beach shemelaHapana shemela utanisamehe ni avatar ipi kwanza
Tuko poa binamuMarhaba mama JJ! Mko poa
Mpe pole mama yetu binamu..asante kushukuru aunt, Mama yenu, ambaye bahati mbaya sana mimi ni mume wake anaumwa yaani hata mimi ninaumwa hapa. Ndo nikaona niandike maneno ya kumfariji apone haraka