Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE:Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima leo Alhamisi tarehe 10 Agosti 2018.Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.

Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.

Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen

ALHAMISI NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
 
Amka na magazeti binamu Obe ukuje binamu
20180810_083349.jpeg
Screenshot_20180810-083411.jpeg
Screenshot_20180810-083428.jpeg
Screenshot_20180810-083445.jpeg
Screenshot_20180810-083500.jpeg
Screenshot_20180810-083519.jpeg
Screenshot_20180810-083540.jpeg
Screenshot_20180810-083557.jpeg
Screenshot_20180810-083621.jpeg
Screenshot_20180810-083638.jpeg
Screenshot_20180810-083657.jpeg
Screenshot_20180810-083713.jpeg
Screenshot_20180810-083728.jpeg
Screenshot_20180810-083744.jpeg
 
TUOMBE:Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima leo Alhamisi tarehe 10 Agosti 2018.Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.

Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.

Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen

ALHAMISI NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
Amini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom