Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijui kwa kweli ndo maana nilishindwa kwenda beach na binamu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀

....duh, tungeendaje sasa, maana nimekupitia twende beach nikakukuta umevaa suti kama unataka kwenda kwenye interview mahakamani. ha hahahaha, umenichekesha sana
 
Baki na ushamba wako mfyuuuu wenzako tunaenda beach na vichupi vya vikamba
beach-gifs-surfing-fail.gif

JauntySleepyBull-small.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom