Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Za jioni mama D...?binamu nane tisa acha nikupende tu mm binamu yangu
Za jioni mama D...?binamu nane tisa acha nikupende tu mm binamu yangu
Kaka obe salute.....marhaba aunt, nane nane imeisha salama? Hivi unajua leo ni nane tisa?

Mimi Niko poa kbs,hofu na mashaka juu yenu,mlio mbali na upeo wa macho yanguHatujambo ww je

Mzee baba..Mimi Niko poa kbs,hofu na mashaka juu yenu,mlio mbali na upeo wa macho yangu![]()
![]()
Chupi mfyuuuuuKwan ni ktu gani kile mke mweee
Woyooooooo kupendwa ndio huku...salamu zimefika na nimekipenda hicho ulichotupia leo (sio nguo) yaani wavuaji wanafunzi wanajivulia kiurahisi tu kama kimini cha polista. Je wajua imekaa poa sana.
Nakupenda pia aunt yangu na unalijua hilo.
Salama T za wewe miss u jamaniZa jioni mama D...?
Shikamoo mkuuWoooiiii
Marhaba mama JJ! Mko poaShikamoo binamu
Binamu yangu asante jamaniMuziki: Pona Haraka
...unaweza ukadhani huumwi, kila mtu na maradhi yake, maradhi yangu siyo yako na siku zote homa sio malaria , kaa unalijua hili na kama ndo unalisikia leo basi usiache kupokea salamu yangu ya upendo kwako wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kutochusha. Asante Shunie kwa Je Wajua, imeandikwa kwa lugha rahisi sana kiasi kwamba hata ambaye moja haiingii mbili haikai (hayumo humu MF) nikimpelekea asome ataelewa na kuongeza maarifa.
Maradhi yako yasisumbue wengine bila taarifa, ukitaka yatusumbue basi tujulishe mapema, huu ni mwaka tofauti, mwaka wa roho mbaya kama sikupendi na kinyume chake. Hivi ninaandika nini, hiki si kipengele cha muziki na kesho ni furahiday...anyway, tuna tofauti, furahia maradhi yako kama daktari yuko mbali ishi nayo, ni yako na ninakutakia kupona haraka. Nimechanganya na tafasiri unavyoweza, yaani two in 1 kama twaarabu ya MY mlokole wa kiislam, usiniharibie siku yangu nami nitakaa mbali na siku yako
Kaka obe salute..![]()
Haaa,kiongozi nawe salute Mkuu, kwema lkn kiongozi Wangu ?Mzee baba..
Salute kwako.
Binamu yangu asante jamani