Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Hodiii
...karibu, una mizigo au umekuja kama wageni wa mjini, mikono mitupu
Hodiii
Njema et habari za uzima Dada?Salama habari yako
Njema et habari za uzima Dada?
Kumekucha Dada!Salama kaka
Na makucha yakeKumekucha Dada!
Atakuwa kabeba usb na earphone...karibu, una mizigo au umekuja kama wageni wa mjini, mikono mitupu

Sahiv ni ya juice siyo maziwa tenaBinamu shikamoo nafurahi na mm kukuona naombeni hela ya juice


Ohoo! nimebeba debe la mahindi sijui mnakulaga kande...karibu, una mizigo au umekuja kama wageni wa mjini, mikono mitupu
Ohoo! nimebeba debe la mahindi sijui mnakulaga kande
Sahiv ni ya juice siyo maziwa tena![]()
...sana tu, ila sio usiku maana tunapnda kulala kwa amani, sio tule kande usiku halafu tukilala tuwe kama tuko Syria kwa mabomu.
Karibu sana






uwiii..mgonjwa njaa anabadilishabadilisha tu kinywaji, bahati yetu, ingekuwa Ijumaa angesema heineken barrrrrrrdi

maweee huyo siyo mgonjwa...sana tu, ila sio usiku maana tunapnda kulala kwa amani, sio tule kande usiku halafu tukilala tuwe kama tuko Syria kwa mabomu.
Karibu sana



lohHapa nilipo ni 04:37 ,huko SAA ngapi?Najua MF ni kama ufalme wa Mwingereza, ukute mahali pengine ni saa kumi kasoro adhuhuri na kwetu hapa ndo tumelala fofofo.
Nikutakie usiku mwema, kuche ukiwa na afya na tabasamu la kuianza siku