ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Sijambo Bebe tuma hela za juice no si unayo nitakufwa mgonjwa mie mlie halafu muanze kutoa michango nikiwa kaburini mbona nawatokea mkiniaga

Pokea mke mwee unitumie![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hela ya maziwa napokea mm
Wachoyo sana ukifa wao ndio wa kwanza kuliaWachoyo hawa
Kweli mke mwee waache tu
Kibonge mm jamani najiona shunie mm
Salama habari yakoHabari
SawasawaPokea mke mwee unitumie
Mchana Mwema
Thenki YuuNa kwako pia jamani
mfyuuuuu niache mimi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hela ya maziwa napokea mm