Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Kwema @Goal kick ...?Wakuu Makapuku Mnapotea Sana Jamvini
Kwema @Goal kick ...?Wakuu Makapuku Mnapotea Sana Jamvini
...marhaba, hivi hela ya juice haijakufikia tu? Mbona nimetoa utaratibu wa namna gani upate juice?
Haijanifikia binamu jamani mbona unanifanyia hivyo wote wanisuse hata ww
...oh, mimi nimetoa mchango mkubwa sana na kama haujakufikia kwa kweli nitasikitika sana, hebu ngoja niangalie kumbukumbu zangu kama muamala wangu ulifika.
wengine wote hawawezi kukususa na mimi nitajitahidi sana nisiwe wa mwisho kutotuma hela. Mimi na wewe tena, karanga na chapati au karangi na mchanga.
Mchango wa jwisi nimetuma, angalia tena

...oh, mimi nimetoa mchango mkubwa sana na kama haujakufikia kwa kweli nitasikitika sana, hebu ngoja niangalie kumbukumbu zangu kama muamala wangu ulifika.
wengine wote hawawezi kukususa na mimi nitajitahidi sana nisiwe wa mwisho kutotuma hela. Mimi na wewe tena, karanga na chapati au karangi na mchanga.
Mchango wa jwisi nimetuma, angalia tena
Binamu mbona haijanifikia jamani umemtumia nani
...watu watakuwa waliuficha mchango wangu, well ngoja nikutumie
Ukitaka juice nzuri andaa matunda (kama unataka ya maembe- tafuta maembe yaliyoiva vizuri) osha katakata vipande vidogo. weka kwenye blender na saga. tafadhari usisage kokwa la embe.
Kisha ongeza maji safi kidogoo weka mabonge ya barafu kuleta ubaridi ili juice isiwe nzito sana ukadhani unakunywa uji.
Nikutakie unywaji mzuri wa juice na kama ukitengeneza nyingi niwekee kwenye glass nakuja kunywa mimi ndugu yako
![]()
![]()
Asante binamuMuziki: Mwanzo wa Wiki Njema
...nilikukumbuka sana Kapuku mwenzangu kipindi cha wikend, najua ulinikumbuka pia na hata kama hukunikumbuka sio tatizo langu wala lako, ni la yule atakayetaka kujua. Kifupi tu nikusalimie na kukuambia kuwa bila wewe jukwaa hili linabaki kuwa jukwaa la kawaida tu kama majukwaa mengine, lakini kwa sababu wewe upo hapa basi MF iko juu ya zaidi unavyofikiria. Nimefurahi kuona aunt yangu Shunie karudi baada ya kutojisikia vema siku mbili tatu hizi. Oh, nilitaka kusahau, nilimuona mopao mokonzi mwenyewe kokobanga makaveli10 , kama kawaida ni jambo zuri kukuona hapa kila wakati mdau.
Muziki sasa, msione kimya sijawaandikia kuhusu habari za anko wangu, hajambo anaendelea kuuutumikia mwili. Akimalizia busibess zake atarejea hapa na tutaendelea na mambo yetu ya kiukoo. Nikutakie wiki njema mdau
Shikamoo“SAMEHE ADUI ZAKO LAKINI USISAHAU MAJINA YAO”
Umwambie anko wako wodikapu imeisha,cjui atasingizia nnMuziki: Mwanzo wa Wiki Njema
...nilikukumbuka sana Kapuku mwenzangu kipindi cha wikend, najua ulinikumbuka pia na hata kama hukunikumbuka sio tatizo langu wala lako, ni la yule atakayetaka kujua. Kifupi tu nikusalimie na kukuambia kuwa bila wewe jukwaa hili linabaki kuwa jukwaa la kawaida tu kama majukwaa mengine, lakini kwa sababu wewe upo hapa basi MF iko juu ya zaidi unavyofikiria. Nimefurahi kuona aunt yangu Shunie karudi baada ya kutojisikia vema siku mbili tatu hizi. Oh, nilitaka kusahau, nilimuona mopao mokonzi mwenyewe kokobanga makaveli10 , kama kawaida ni jambo zuri kukuona hapa kila wakati mdau.
Muziki sasa, msione kimya sijawaandikia kuhusu habari za anko wangu, hajambo anaendelea kuuutumikia mwili. Akimalizia busibess zake atarejea hapa na tutaendelea na mambo yetu ya kiukoo. Nikutakie wiki njema mdau
Hodiii
KaribuHodiii