Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimefurahi kukuona ukiwa mzima wa afyq iyegu
Tel Me Madame Shunie
Tel Me Madame Shunie
Unaumwaaa nini etiAu nyie ndio nikifa mtaanza kunililia na kutoa michango mnashindwa kunipa mahela nikiwa naumwa mbona mkija kuniaga nawatokea mm
Inakuwaje na ban wakat unaona nadundaa
LabdaaaKwenye notification inaonekana ban
Unaumwaaa nini eti
Duh... Unataka Chako Mapema :OAu nyie ndio nikifa mtaanza kunililia na kutoa michango mnashindwa kunipa mahela nikiwa naumwa mbona mkija kuniaga nawatokea mm
Nini tatizooSasa hivi nimepona pona
Sio nataka changu mapema mgonjwa anaumwa anataka juice na maziwa wanamsimangaDuh... Unataka Chako Mapema :O
Vidole vyangu vilikatikiwa na vipande vya bakuli ya udongoNini tatizoo
Mgonjwa Huwa Hali Sana 😀Sio nataka changu mapema mgonjwa anaumwa anataka juice na maziwa wanamsimanga
Maziwa yamenyonywaàaa mpaka kuumwaAnaumwa Maziwa![]()
Poleee sanaa...Vidole vyangu vilikatikiwa na vipande vya bakuli ya udongo
Wewe Wasema :lolMaziwa yamenyonywaàaa mpaka kuumwa
Mgonjwa Huwa Hali Sana 😀
Poleee sanaa...
Kabitha YaniEenh
Umesemaa weweWewe Wasema![]()
Etiii ni maziwa yamechezewaa mpaka yanaumaa??Asante sana
Au nyie ndio nikifa mtaanza kunililia na kutoa michango mnashindwa kunipa mahela nikiwa naumwa mbona mkija kuniaga nawatokea mm



hutokufa kumfariji mgonjwa si lazima umpe hela hata maombi tu yanatosha ili upone ukazitafute za kwako