makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,983
- 104,469
Kitumbo ndiiiumekuwa mpole nenda kafturu uko
Kitumbo ndiiiumekuwa mpole nenda kafturu uko
Sijabisha!!Ndiwooooo jamanisi unajua mama ni kibonge
Hahaa hayaHawezi buana
Mmhh ndo mana namuita ticha kivuruge, lakini dada kwahiyo na wewe unaunga mkono kwamba nimekuwa kivuruge
Ahsante kwa hadithi hii mzee mwenzangu!!...alisema Abdullah ibn Mas’ud akimnukuu mtume ni lazima uwe mkweli, ukweli huleta haki, na haki huleta pepo (paradise). Utahukumiwa kwa ukweli wako
Kinachokuzamisha sio kudondikea mtoni, ni kushindwa kupiga mbizi, ukasizi na watu tukashindwa kukuona, hapo ndio unakuwa umezama.Tafasiri Unavyoweza: Itumie Au Ipoteze
Shule nyingi zimefungwa kwa sasa, mtaani watu wameongezeka sana. Inapendeza kuwaona vijana walioishi ndani ya shule za 'boarding' wakiziacha sare zao za kushindia na kuvaa mavazi tofautitofauti yanayowapendeza. Si lengo la kipengele hiki kuongelea kuhusu kufungwa kwa shule na mavazi ya vijana wetu. Makala haya yanaangalia namna ambavyo kama umepata maarifa au ujuzi fulani na usipoutumia basi unaweza kupoteza maarifa hayo na ujuzi ulioupata na ukawa ni mzigo kwa jamii nataifa kwa ujumla. Use it or lose it, Tafasiri unavyoweza.
Kwenye upande wa kusoma na kuandika bila kusahau kuhesabu (3 K) Unesco, taasisi inayofuatilia masuala ya elimu duniani inasema kwamba kuna hatari kubwa ya mtu ambaye alikuwa anajua kusoma (literate) kurudia ujinga (illiterate) kama hatojisumbua kujisomea baada ya kuwa amemaliza elimu iliyomlazimisha kusoma.
Maarifa yapo vitabuni, asikudanganye mtu, shukrani kwa mitandao ya kijamii, kwa sasa wengi wentu hatubebi vitabu kujisomea tena, simu yako inakuwa kitabu na majukwa kama JF yanasaidia kukuongezea maarifa maana kuna habari inabidi uzisome, usissimuliwe na kwa wewe unayeweza kupoteza muda wako kuchangia humu, hauupotezi bure, unaongezea wengine maarifa na kujiongezea maarifa pia. Hakuna unachoandika humu kisicho na faida kwa kila mwanajf hata kama hukubaliani nacho.
Kitumie au kipoteza, ni rahisi tu na ni vizuri kukumbushana kwa hili. Nikutakie wiki njema
ThIs is bongo brother.
Kazi ya magimbi na uji wa ngano hiimambo ni
![]()
Impact!!!Muziki: Changamka, Usichanganyikiwe
...wiki la kwanza la mwezi wa sita ndo tunalianza, eeh, kama ulikuwa umesahau basi nakukumbusha na baada ya kumbusho hili nakusalimia Kapuku mwenzangu na kukutakia mafanikio katika mwezi huu. Mwezi wa kipekee kabisa kwa kina sie tunaolipa kodi mara mbili kwa mwaka, yaani tangu wiki imeanza nimeshangaa sana mwenye nyumba kuniandikia meseji ya kunisalimia. Akilini nikajiongeza tu sijamjibu maana nikijibu tu atanikumbusha kitu ambacho nakikumbuka sana. Mimi sio kama anko wangu ambaye yeye huwa inabidi mwenye nyumba aje na polisi jamii kuchukua kodi.
Muziki sasa, ninajiamnisha ulikuwa na wikend nzuri, kwangu ilikuwa nzuri sana asante kwa kutouliza. Changamka usichanganyikiwe mwezi wa sita huu, mwaka ushagawiwa kwa mwili, sasa ni zamu yako.
Swafi na swalama.habari gani hapa ndani
Sisi wengine tunajipendekeza kusoma sio..Sawa binamu usijali halafu magazeti huwa nakuwekea wewe tu
Hili suala hata mie nahisi hivyo...Shemela umeshinda Tatu mzuka nini?
Kaishakula makande na futar ya maboga huyo..We vp
Nimekumisi shemela.Nko poa
Mi toto ya mitishamba ndivyo ilivyo mzoee tu shemejiAnatabia mbaya mwanamke huyo

Nitake radhi shunie akee!! Hadi mimikivuruge+ mfyuuuuuuu kwa humu ndani wote vivuruge eenh
