Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Baby breaking bad niliangalia season 1 tu ila ntaipakua kwa ajili yako.. Kumbe ni nzuri eh? Imefika ya ngap now??Haswaa Sweet nitashukuru ukiniletea Series ya Breaking Bad ...Yaani hapo mimi ntakuacha uwende kuangalia sijui laliga mpaka asubuhi ukija utanikuta mimi na watch tu..
Mkuu manuu natumai unaona hapaBby nafuta neno kukojozwa, naomba isomeke kupewa penzi
Kabisa mkuu jamaa kawaweshesha sana Warriors...Steph Curry keshabeba mikoba ya Black Mamba mkuu. Jana tu kaweka rekodi mpya kwa kutundika point 17 kwenye muda wa ziada.
Kabisa ili mradi siku ipite ndugu yangu..kweli mkuu , kwa sasa vijiwe ni kwenye gahawa na kashata mkuu
Nashukuru kusikia hivyo Shemeji..Tupo kijiweni tu hapa...Poa kabisa brother.
Mungu ni mwema.
Pamoja sana kakaNashukuru kusikia hivyo Shemeji..Tupo kijiweni tu hapa...
Manuu ndo nani, au ndo mkojozaji
Mkuu nalikumisi balaaa...Steph Curry keshabeba mikoba ya Black Mamba mkuu. Jana tu kaweka rekodi mpya kwa kutundika point 17 kwenye muda wa ziada.
Sweet naipenda sana yaani hata kula naweza sahau kabisa...Baby breaking bad niliangalia season 1 tu ila ntaipakua kwa ajili yako.. Kumbe ni nzuri eh? Imefika ya ngap now??
Huyu ndiyo mwenyewe.Manuu ndo nani, au ndo mkojozaji
Hiyo ndio yule mzee anatengeneza dawa za kulevya ?? Now imefika season ya ngap??Sweet naipenda sana yaani hata kula naweza sahau kabisa...
Hii imenisikitisha sana shemeji.My wife amaizing please watu kama hawa waache wapite tu maana hawana hata heshima kwa mashemeji wao...
Shem mpotezee huyo na lugha zake za kukwaza watuManuu
![]()
![]()
manuu unataka niwe kimya aaaa ciwezi ona shem anakojozw
Niliangalia mpaka season 3 sweet heart....wewe uliishia wapi?Hiyo ndio yule mzee anatengeneza dawa za kulevya ?? Now imefika season ya ngap??