Makapuku Forum

Makapuku Forum

NAsiyo wote wanawaweka kwenye kundi ilo ni kujitahidi kuelewa na kutofautisha wakati .... hata hivyo unawezaje kukosa raha na kunung'unika kwa kitu ambacho hakina uhalisia nawewe??
Mupenzi badilisha mada, najua utani wako, huku tumezoea kuitana honey, sweet nk
So hebu rudi pande hii ilozoeleka,,sawa!
 
OKAY...
sasa nmeshakuja na suluhisho.
kutokana na hii mis-understanding iliyojitokeza hapa juu nmeona bora "tufunike kombe mwanaharamu apite"
kwa maana hata hawa waliokwaruzana tayari wameshayamaliza so AMANI NA ITAWALE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom