Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
powa, habari za maisha ndg?Bby hivi unapendaga mpira ??
powa, habari za maisha ndg?Bby hivi unapendaga mpira ??
Hakupi ng'oHappy Birthday Jimena !
Ambao walikuwa hawajapita hapa nawakumbusha mpite
Cc jambilo pita hapo utembeze likes![]()
![]()
Mkuu tupo tunalisongesha wewe ndiyo umeadimika kimtindo...ni powa mkuu, za kuadimika?
Maisha yako vizuriiiipowa, habari za maisha ndg?
Haya bby ebu ntafute series ya kuangalia leo. Hope utaipendaMy dear yaani mimi mpira wa Miguu na mimi mbali mbali sana yaani hata unipe na pesa siendi angalia kabisa...Napenda Basket ball ila tangu Kobe Bryant atundike daluga nimeanza poteza hamu kidogo..
Thanx honeyAsante Sweet pole na wewe my dear...

powa powa tukomae ...Maisha yako vizuriiii
Kuna mtu "atakojoleshwa" hiyo May 20th Mlimani City. Ndi Ndi ndiiii !!!
Haina mbayapowa powa tukomae ...
Poa kabisa brother.Poa sana Kamanda...Niaje?
kweli mkuu , kwa sasa vijiwe ni kwenye gahawa na kashata mkuuMkuu tupo tunalisongesha wewe ndiyo umeadimika kimtindo...
Bby una wangapi wanaokukojoza humuThanx honey![]()
Rekebisha kauli Kwanza, ndio nikijibu LA sivyo nakusemelea kwa WaziriBby una wangapi wanaokukojoza humu
Kuna mtu "atakojoleshwa" hiyo May 20th Mlimani City. Ndi Ndi ndiiii !!!
AiseeBby una wangapi wanaokukojoza humu
...Steph Curry keshabeba mikoba ya Black Mamba mkuu. Jana tu kaweka rekodi mpya kwa kutundika point 17 kwenye muda wa ziada.My dear yaani mimi mpira wa Miguu na mimi mbali mbali sana yaani hata unipe na pesa siendi angalia kabisa...Napenda Basket ball ila tangu Kobe Bryant atundike daluga nimeanza poteza hamu kidogo..
Haswaa Sweet nitashukuru ukiniletea Series ya Breaking Bad ...Yaani hapo mimi ntakuacha uwende kuangalia sijui laliga mpaka asubuhi ukija utanikuta mimi na watch tu..Haya bby ebu ntafute series ya kuangalia leo. Hope utaipenda
Prezdaa unanionea, nimempa kama 50 hivHakupi ng'o
![]()
![]()
![]()
![]()
....................
Bby nafuta neno kukojozwa, naomba isomeke kupewa penziRekebisha kauli Kwanza, ndio nikijibu LA sivyo nakusemelea kwa Waziri