Makapuku Forum

Makapuku Forum

b83da7384c93df312c20823f7436d804.jpg

Tambwe 84'
Mbaya kijijini : Jangwani
......................
Raha sana kuwa shabiki wa timu zifuatazo
Yanga
Malmö fc
Manchester United & Real Madrid
 
Haleluyaaaaa

Itapendeza baby..
Wow ebu tafuta Nyimbo za Joe Praize WA South Africa, I hope utakuwa unasauti kama yake.

Kweli wewe ni mume bora
Nashukuru sana kwa kupata mke mwema anaye kuwa upande wa mume wake bila kujali nini,NAKUPENDA SAN MY DEAR amaizing...Na nitaitafuta hizo nyimbo soon hapa nasikiliza wimbo kutoka kwa JUANITA BYNUN wimbo unaitwa DON'T MIND WAITING....Unabairki sana wife karibu tusikilize pamoja...
 
Mbona wenzetu hawanywi sukari na wanaishi? Walioishi Uk na baadhi ya nchi za wenzetu tuambie kwanini sisi sukari? Ugali unaongeza nguvu, viazi, maghimbi na vitu kama hivyo. Tuanze sasa kuamkia viazi na dagaa kama wapo au na mlenda halafu tusepe kazini tuone kama hawatashusha bei.
Mimi pia nashangaa, kama vipi tuanze kunywa uji wa chumvi alafu tuone kama sukari haitashuka bei.
 
Inabidi amuombe radhi shemeji yangu amazing.
Shemeji huwa naamini msamaha mzuri ni ule ambao mtu hashurutishwi anaeleweshwa tu hapo umefanya kosa then yeye ataamua njia sahihi kutoka pale akiambiwa hadi nin cha kufanya atarudia tena kesho ili amuombe my wife amaizing msamaha na nashukuru maana mpenzi wangu ni muelewa kuliko watu wanavyodhani..
 
Nashukuru sana kwa kupata mke mwema anaye kuwa upande wa mume wake bila kujali nini,NAKUPENDA SAN MY DEAR amaizing...Na nitaitafuta hizo nyimbo soon hapa nasikiliza wimbo kutoka kwa JUANITA BYNUN wimbo unaitwa DON'T MIND WAITING....Unabairki sana wife karibu tusikilize pamoja...
Thanks my
Hebu niingie youtube

Usiache kutafuta Nyimbo za Joe Praize hasa Almighty God na Alpha and Omega.. I'm sure utazipenda na zitakubariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom