mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Marhabaa mjukuu wangu.... Jambo wewe?Babu akee shunie shikamoo
Marhabaa mjukuu wangu.... Jambo wewe?Babu akee shunie shikamoo
Nzuri. Karibu sanaHabari ya leo makapuku wenzangu
poa ila sijazeekaShikamoo babu
Jambo mimi babu wewe jeMarhabaa mjukuu wangu.... Jambo wewe?
Kibonge shikamooBabu akee shunie shikamoo
Pole mwenye nayo kaipokeapoa ila sijazeeka
Shika yako mwenyeweKibonge shikamoo
Mimi niko poa sana mjukuu wangu... Karibu tuleJambo mimi babu wewe je
Ashike nn mjukuu wangu?Shika yako mwenyewe
Binamu nakusalimia lakini sio shikamoo
Wapi huko binamu
Binamu najua sana na nyayo zako zimeonekana pahala ... wewe ndo binamu nikujuayeeeSalam yako nimeipokea anko wangu, wikend nimebananika. Si unajua ile mambo
Shika yako mwenyewe
Binamu najua sana na nyayo zako zimeonekana pahala ... wewe ndo binamu nikujuayeee
Ha ahahahhaah, hizo nyayo sio zangu, nivaa buti sikupekua.
Wewe ndo ulipekua kule Rombo baada ya miezi Tisa upekuzi ukaleta majibu, wataalamu wakafanya upasuaji , sasa valentini hii
binamu ya romboo ebu tumuachiee mrombo mwenyewee kiukweli napitia wakati mgumu kuliko ule wako wa kusoma phd ....wanasema kazi hipo .....![]()
![]()
binamu ya romboo ebu tumuachiee mrombo mwenyewee kiukweli napitia wakati mgumu kuliko ule wako wa kusoma phd ....wanasema kazi hipo .....
Ila binamu vipi ulitingwa sana mpka ukaamua kumchukua mama zainabu ??? Make tulishasema wake za watu mwaka huu hapana kipi kimekukutaaa...ulijua sitajuaaa ila nimekubambaaaa
Umetembelea Huku mkuuMarhaba mkuu!