Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaan nilikua serious nilijisajili sportpesa nikaambiwa wanakata kodi kama DCM la mbagala nikaambiwa niingie mbet ndio nikashindwa kuelewa darasa app bado ninayo sijaifuta
Nakuombea sanaa
 
Me vyuma kwangu havijakaza wala hakuna dalili ya kukaza nataka nijue tu huo mchezo kucheze nipate mahela mbona biko nacheza

Hahahaha,
Kwani unadhani kufunga madishi mpaka viwe vimekaza ???
Yaani ukishaanza kubet utaona kila hela ni kubwa duniani, hata kama una milioni mia mfukoni.
Kamali ni hatari sana mazeee, sitaki hata kukumbuka kabisaa...
 
Nakuonea huruma kuumiza kichwa mara nan ashindee na uanze kufatilia mechii au unabet za man u
Majibu nitapewa jana kuna rafiki humu aliyenifundisha alinipa majibu ya team nyingi tu sitaumiza kichwa nikijua tu naomba majibu
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom