Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kila la kheri mke mweee ukipata ucnisahau ktk ufalme wakoZama zimebadilika mpaka wadada wanabet ndio mana nimepata hamu na mm ya kutaka kujua Moira nafatilia jaman
Kila la kheri mke mweee ukipata ucnisahau ktk ufalme wakoZama zimebadilika mpaka wadada wanabet ndio mana nimepata hamu na mm ya kutaka kujua Moira nafatilia jaman
Unacheka ??
Mwanzako Mwakalebela wa Iringa alibet nyumba 3 za mama yake dhidi ya Msigwa kwenye Uchaguzi mkuu wa 2015.
Alichofanywa hakuamini mpaka leo.........."Shunie The Better"










mwakalebela wa tff jaman alifanya hivyo
Siwezi kukusahau mke mwee ila kichwa kizito bado sijaelewa hata kimojaKila la kheri mke mweee ukipata ucnisahau ktk ufalme wako
Na mm naomba babuToa mkono upokee mjukuu wangu
Shikamooo mama

Binamu nimemwambia mama ujumbe wako zawadi zake ulizomnunulia
...ndo maana nakupendaga, na kwa kuwa umeonakana kuwa upande wangu kwa BH, basi nidai dawa ya wewe kushinda mchezo wa kubet ambao unataka kujikita




binamu nipe hiyo dawa nijue kwanza kubet yaan app bado sijaifutaKazana mke mweee tutaomba hata baba wawili atusaidieSiwezi kukusahau mke mwee ila kichwa kizito bado sijaelewa hata kimoja
Shikamoo binamu...ndo maana nakupendaga, na kwa kuwa umeonakana kuwa upande wangu kwa BH, basi nidai dawa ya wewe kushinda mchezo wa kubet ambao unataka kujikita
Siwezi kukusahau mke mwee ila kichwa kizito bado sijaelewa hata kimoja
Shikamoo binamu
Kwakweli ebu mwambieKazana mke mweee tutaomba hata baba wawili atusaidie

Mbona shikamoo yangu ulinipa like tu haujaitikia...niseme tu kweli, nimepokea salamu yako kwa unyenyekevu mkubwa kama shehe wa DSM baada ya kupita mitaa ya kwa yule dada yetu wa taifa
binamu nipe hiyo dawa nijue kwanza kubet yaan app bado sijaifuta
Mbona shikamoo yangu ulinipa like tu haujaitikia
Hahaha nileteee mwanangu nipendezeeeMama shikamoo jaman obe kaniambia ana mizigo yako kakununulia mafuta yale ya dred dandruff shampoo na spray na perfume
HahahahBinamu nimemwambia mama ujumbe wako zawadi zake ulizomnunulia
Marahaba mamaShikamooo mama![]()
Binamu nifundishe kwanza nikiweza nikishinda za kubet nitakulipa hela yako...dawa inauzwa, kwa kuwa wewe mtu wangu wa karibu kwa mbali kidogo, nitakuunganisha kwa hela ndogo tu, elfu 30,000. Usingekuwa nakufahamu ungelipa 22,400,000/= tu