Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tafasiri Unavyoweza: Tambua Uendeako


Kuna msemo usemao kuwa hupotei ukokujua, sawa, lakini kwanini uende sehemu ambayo huijui? Inawezekana hujafika ndiyo, lakini kwa zama hizi za ramani na google map, ni ngumu kuanza safari ukiwa hujui chochote kuhusu unapotaka kwenda. Mtu makini hufanya utafiti kwanza wa kule anakotaka kwenda kwa sababu anajua alikotoka.

Na ukiamua kuianza hiyo safari basi ondoka umekula kabisa maana hukujui uendako bali utokako ndo una hakika napo. Hili linatumika kote kote, kwa mwanafunzi kwa mfano, jipime uwezo wako wa darasani na ukiona wewe unaweza masomo ya sayansi basi jikite kwenye kuitafuta sayansi na maarifa yake na ikiwa wewe ni 'fundi' wa masomo ya sanaa basi usiache kufuatilia maarifa ya sanaa na viambatisho vyake.

Ikiwa wewe ni mwanachi unayejitambua, ni vizuri ukasoma ilani ya chama ulichokikabidhi uhuru wako ili kikutawale na kuleta maendeleo kwako na jamii huku kikikuhakikishia usalama na uhuru. Kama hakikupi ulichoamua kujinyima (binadamu wote tuna hulka ya unyama na kama si kuwepo kwa serikali basi pasingetosha) fanya mabadiliko. Unaweza maana kipengele hiki unaruhusiwa kutafasiri unavyoweza.

maxresdefault.jpg
 
Tafasiri Unavyoweza: Tambua Uendeako


Kuna msemo usemao kuwa hupotei ukokujua, sawa, lakini kwanini uende sehemu ambayo huijui? Inawezekana hujafika ndiyo, lakini kwa zama hizi za ramani na google map, ni ngumu kuanza safari ukiwa hujui chochote kuhusu unapotaka kwenda. Mtu makini hufanya utafiti kwanza wa kule anakotaka kwenda kwa sababu anajua alikotoka.

Na ukiamua kuianza hiyo safari basi ondoka umekula kabisa maana hukujui uendako bali utokako ndo una hakika napo. Hili linatumika kote kote, kwa mwanafunzi kwa mfano, jipime uwezo wako wa darasani na ukiona wewe unaweza masomo ya sayansi basi jikite kwenye kuitafuta sayansi na maarifa yake na ikiwa wewe ni 'fundi' wa masomo ya sanaa basi usiache kufuatilia maarifa ya sanaa na viambatisho vyake.

Ikiwa wewe ni mwanachi unayejitambua, ni vizuri ukasoma ilani ya chama ulichokikabidhi uhuru wako ili kikutawale na kuleta maendeleo kwako na jamii huku kikikuhakikishia usalama na uhuru. Kama hakikupi ulichoamua kujinyima (binadamu wote tuna hulka ya unyama na kama si kuwepo kwa serikali basi pasingetosha) fanya mabadiliko. Unaweza maana kipengele hiki unaruhusiwa kutafasiri unavyoweza.

maxresdefault.jpg
Binamu shikamoo
 
Tafasiri Unavyoweza: Tambua Uendeako


Kuna msemo usemao kuwa hupotei ukokujua, sawa, lakini kwanini uende sehemu ambayo huijui? Inawezekana hujafika ndiyo, lakini kwa zama hizi za ramani na google map, ni ngumu kuanza safari ukiwa hujui chochote kuhusu unapotaka kwenda. Mtu makini hufanya utafiti kwanza wa kule anakotaka kwenda kwa sababu anajua alikotoka.

Na ukiamua kuianza hiyo safari basi ondoka umekula kabisa maana hukujui uendako bali utokako ndo una hakika napo. Hili linatumika kote kote, kwa mwanafunzi kwa mfano, jipime uwezo wako wa darasani na ukiona wewe unaweza masomo ya sayansi basi jikite kwenye kuitafuta sayansi na maarifa yake na ikiwa wewe ni 'fundi' wa masomo ya sanaa basi usiache kufuatilia maarifa ya sanaa na viambatisho vyake.

Ikiwa wewe ni mwanachi unayejitambua, ni vizuri ukasoma ilani ya chama ulichokikabidhi uhuru wako ili kikutawale na kuleta maendeleo kwako na jamii huku kikikuhakikishia usalama na uhuru. Kama hakikupi ulichoamua kujinyima (binadamu wote tuna hulka ya unyama na kama si kuwepo kwa serikali basi pasingetosha) fanya mabadiliko. Unaweza maana kipengele hiki unaruhusiwa kutafasiri unavyoweza.

maxresdefault.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom