Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Ahahha kwakweli nina bahati mnooBasi una bahat kubwa kufungua mwaka na likes zake
Ahahha kwakweli nina bahati mnooBasi una bahat kubwa kufungua mwaka na likes zake
Cjambo za wwDear wangu mie uko poa..?
Mzima kabisaNaaam mungu mkubwa u mzimaaa?
Mweee nimependa huto tu lips na ka nyama kale ka ndani ya lips.. Kanavutia
Nipe link ya Id zake insta na fb nimfolo
Ukimuona mumeo mwambie namtafuta mie
Ukimuona mumeo mwambie namtafuta mie
Yaan me nilibaki kushangaa jina tu juu ya kichwa cha Lori shululuLile lori uliloliona hukumuona !?
I miss youCjambo za ww
Salamaa salamaaa kakaa naona umeamua kutukimbia kabisaaa...Adje kaka Ray ?
![]()
![]()
.....
SijawakimbiaSalamaa salamaaa kakaa naona umeamua kutukimbia kabisaaa...
Kwelii mkuuu maisha haya sio kuzubaaa.Sijawakimbia
Siku hizi ubize tu wa maisa
Sasa kutokana na kukaa muda mrefu nje ya Jf pindi nikiingia sijisikii mzuka kupost post hivyo nsishia kuwa msomaji na kukomenti mara chache tu
............
Ndio hivyoKwelii mkuuu maisha haya sio kuzubaaa.
Ila kusalimia sio mbaya dunia hii tunawaza mengi mnapokua kimya...
Huhuuuu bado unachapia kama kawaida..Ndio hivyo
Wapo ambao nawasiliana nao WhatsApp,wapo ambao nakutana nao face to face
Hivyo sio kwamba "sisalimiani" na wana ......
Nje ya Jf tupo ambao tushakuwa madwahiba
........
HahahahaaaHuhuuuu bado unachapia kama kawaida..
Nitumie pm no yako ya wasap bro tuwe tunasalimiana....
Salute comradeHahahahaaa
Sio kwamba kila mtu huwa nampa au ananipa tu # yake bali inatokeaga tu watu tunaaminiana,thaminiana,tunziana siri n.k
Hivyo ni kwa wake tu wabaoheshimu privacy
Muda wako mwafaka ukifika tutajuana tu
Usiku Mwema
...........