Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Muziki: Upekee, Kuiga na Kuboresha
Tuzo za Grammy zimeisha jana na wakali wengi wamepata tuzo, Bruno Mars na Kendric Lamar wamejizoela tuzo kibao, hongera kwao. Nikusalimie Kapuku mheshimika na kukutakia juma zuri nikijiaminisha ulikuwa na wikend nzuri. Mimi sijambo na wikend ilikuwa poa sana, asante kwa kutouliza ila nimependa ufahamu.
Muziki huelezea mengi, hisia, ukweli, kiujumla falsafa nyingi huelezewa kwenye muziki unaoupenda. Kama ilivyo kwenye kusoma kitabu (BTW, wikend hii nimeanza kusoma kitabu kipya, ni cha hadithi ya kubuni yenye kufuata matukio halisi- unamkumbuka Black Widow, ndo nachokisoma sasa). Mwandishi kafuatilia matukio ya kweli, akatengeneza hadithi nzuri ya kuvutia, hii ndo tunahitaji wasanii wetu wafanye, upekee na kama ukishindwa iga uboreshe uoneshe utofauti.
Muziki sasa, nimeanza kuongelea tuzo za Garmmy 2018 na nikasahau kukwambia Ladysmith Black Mambazo wamejitwalia tuzo ya album bora. Wasanii wetu wana kitu cha kufanya mojawapo ni kusambaza kazi zao kimataifa, muulizeni bingwa wa Mchiriku Jagwa, nakomea hapa. Namsalimia mjomba wangu Lyon Lee msidhani nimesahau kuwaandikia yale tunayofanya kiukoo
Tuzo za Grammy zimeisha jana na wakali wengi wamepata tuzo, Bruno Mars na Kendric Lamar wamejizoela tuzo kibao, hongera kwao. Nikusalimie Kapuku mheshimika na kukutakia juma zuri nikijiaminisha ulikuwa na wikend nzuri. Mimi sijambo na wikend ilikuwa poa sana, asante kwa kutouliza ila nimependa ufahamu.
Muziki huelezea mengi, hisia, ukweli, kiujumla falsafa nyingi huelezewa kwenye muziki unaoupenda. Kama ilivyo kwenye kusoma kitabu (BTW, wikend hii nimeanza kusoma kitabu kipya, ni cha hadithi ya kubuni yenye kufuata matukio halisi- unamkumbuka Black Widow, ndo nachokisoma sasa). Mwandishi kafuatilia matukio ya kweli, akatengeneza hadithi nzuri ya kuvutia, hii ndo tunahitaji wasanii wetu wafanye, upekee na kama ukishindwa iga uboreshe uoneshe utofauti.
Muziki sasa, nimeanza kuongelea tuzo za Garmmy 2018 na nikasahau kukwambia Ladysmith Black Mambazo wamejitwalia tuzo ya album bora. Wasanii wetu wana kitu cha kufanya mojawapo ni kusambaza kazi zao kimataifa, muulizeni bingwa wa Mchiriku Jagwa, nakomea hapa. Namsalimia mjomba wangu Lyon Lee msidhani nimesahau kuwaandikia yale tunayofanya kiukoo