Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Nzuri bibie lete maneno mwanamke wa dar...Kwema habari ya wewe
Nzuri bibie lete maneno mwanamke wa dar...Kwema habari ya wewe
Poa mwanaume wa mkoaniNzuri bibie lete maneno mwanamke wa dar...
Jana tumewagaragaza wanaume wenu vya kutosha...Poa mwanaume wa mkoani
Ahahah hapana buana wanaume zetu wanaume machine hivi mbona siku hizi unatoa likes una ninii mondrayJana tumewagaragaza wanaume wenu vya kutosha...
Hadi mkaamua muwasaidie...
Mbona toka zamani ninatoa au ww unaonaje?Ahahah hapana buana wanaume zetu wanaume machine hivi mbona siku hizi unatoa likes una ninii mondray
Mmh nimeanza kuona likes zako toka jana tangy nikujue sijawahi pata hata like yako jana nilijionea maajabuMbona toka zamani ninatoa au ww unaonaje?
Hahaaahaaaaaaaaaa rafiki huo uongo sasa kipindi kile mwaka jana mwez wa kuanza hadi wa sita nilikua nakupa likes za kufa mtuu..Mmh nimeanza kuona likes zako toka jana tangy nikujue sijawahi pata hata like yako jana nilijionea maajabu
Mmh labda sio shunie mm hapana aisee likes nimeanza kuziona jana tena kuna siku kwenye uzi wa kupeana likes Numbisa alikuuliza kwa nini hutoi likes we mtu sikumbuki ulichomjibu sijui ulimwambia simu yako mbovu haitoi likesHahaaahaaaaaaaaaa rafiki huo uongo sasa kipindi kile mwaka jana mwez wa kuanza hadi wa sita nilikua nakupa likes za kufa mtuu..
Nikasitisha huduma kwa muda ndio nimeanza upya dear..
Unakumbu kumbu balaaa...Mmh labda sio shunie mm hapana aisee likes nimeanza kuziona jana tena kuna siku kwenye uzi wa kupeana likes Numbisa alikuuliza kwa nini hutoi likes we mtu sikumbuki ulichomjibu sijui ulimwambia simu yako mbovu haitoi likes
Me Nina kumbu kumbu acha tu pole sana kwa kuibiwaUnakumbu kumbu balaaa...
Kama utakumbuka mwaka jana nilipatwa na tatizo la kuibiwa Laptop, simu na begi dogo. So nikawa na mdoli flani hv kutoa like unazingua ila Mungu mkubwa nimeweza kujichanga na kununua laptop na simu. Though I prefer to use Pc for browsing JamiiForum...
Akikataaa njoo kwanguNaomba lift mie
Nadhani hiyo ni sifa ya kila mwana mke...Me Nina kumbu kumbu acha tu pole sana kwa kuibiwa
Mmh labda sio shunie mm hapana aisee likes nimeanza kuziona jana tena kuna siku kwenye uzi wa kupeana likes Numbisa alikuuliza kwa nini hutoi likes we mtu sikumbuki ulichomjibu sijui ulimwambia simu yako mbovu haitoi likes
Rafiki nimekupa like.Asavali leo umemkamata patamu huyuuu huyuuu mondray likes zake kama ukame wa makombe Emirates. Nilidhan akiondoka Wenger(ID mondray na gentries) akaja kocha mwingine(Da'vinci)likes zitamwagwa kama kawaida kumbe nalikua najidanganyaa
Rafiki hii avatar yako imenivutia sanaAsavali leo umemkamata patamu huyuuu huyuuu mondray likes zake kama ukame wa makombe Emirates. Nilidhan akiondoka Wenger(ID mondray na gentries) akaja kocha mwingine(Da'vinci)likes zitamwagwa kama kawaida kumbe nalikua najidanganyaa
Ndugu toka ameingia jf jana ndio naona likes zake kwakweli nilishangaa sijamzoea hivyoAsavali leo umemkamata patamu huyuuu huyuuu mondray likes zake kama ukame wa makombe Emirates. Nilidhan akiondoka Wenger(ID mondray na gentries) akaja kocha mwingine(Da'vinci)likes zitamwagwa kama kawaida kumbe nalikua najidanganyaa
Rafiki hii avatar yako imenivutia sana
Ndugu toka ameingia jf jana ndio naona likes zake kwakweli nilishangaa sijamzoea hivyo
Mweee nimependa huto tu lips na ka nyama kale ka ndani ya lips.. KanavutiaShukran rafiki ila usidondokee hapo kadada mataw ka sauz haka