Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Mie mzima mom luv u!Njema my baby daughter u mzima ubarikiwe mwanangu![]()
Mie mzima mom luv u!Njema my baby daughter u mzima ubarikiwe mwanangu![]()
Cheka kwa kweliii![]()
![]()
![]()
nakusaidia
ShikamooCheka kwa kweliii

Khaaaa![]()
![]()
![]()
sakayo hataki nisalimiwe
MnajishauwaCheka kwa kweliii

AmenMom
Asante mnoo jamani... Nimebarikiwa mnoo
Alisema juzi yupo likizo..huna habariMama hizi taarifa zumetoka kwako au kwakee ??
Nimemwambia ukweliKhaaaa
Likizo wapi anachepukaa hukoAlisema juzi yupo likizo..huna habari
SawaNimemwambia ukweli
KheeeeeEti shemeji [HASHTAG]#Mndali[/HASHTAG] ndanyelakakomu namuulizia mume wangu (lyon lee)kama umemuona au alikufa mkazika kimyakimya
Ndio nimekuja mie nikueleweshe nn tena...mimi bhana tangu nitoe jino la hekima (wisdom tooth) sielewi mengi. Ngoja aje mtu pekee anayenipenda humu na bahati nzuri ni shangazi yangu Shunie , atanielewesha maana anajua akili yangu imejificha mbali kama nyeti
Ee mamy namsubiri lyon lee wangu,siyo huyo uliyenae





huyo uliyemkuta ni Lyon Lee rapa au mbavu zangu