BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Njema my baby daughter u mzima ubarikiwe mwananguHabari gani ndgu zangu wana kf hope muwazima nawamiss jamani

Njema my baby daughter u mzima ubarikiwe mwananguHabari gani ndgu zangu wana kf hope muwazima nawamiss jamani

Muziki: Hesabu Saa, Miaka Itakuchosha
...ni muda umepita Kapuku mwenzangu na leo ni Jumamosi ya mwisho kwa mwaka 2017, kuna mengi ya kutakari siku hii ambayo naamini kabisa umejipumzisha. Bado likizo inaendelea kwa wengi wetu, eeeh, likizo naamaanisha ya kazi, shule na vitu kama hivyo maana kuna mambo mengine hayana likizo hata uwe mjanja mjanja namna gani. Ukiyapa likizo tu, imekula kwako. Utakuja unalia sisi unatukuta tunatoa machozi.
Muziki sasa, Jumamosi maneno kidogo tu na muziki unafuata. Video hizi zilibamba sana hapa kwenye kipengele cha muziki. Furahia leo ni wikend ya mwisho 2017
TUOMBEShalom shalomNimewamiss mawifi,mashemeji bila kumsahau ankoo zaidi ya yote baby buu wangu jamani lyon leewherever you are ABJ kakumis mno ee baba
au ushapata mwingine babaangu??
16 Nami nitaziimba nguvu zako asubuhi, Nitaziimba fadhili zako kwa furaha. Kwa kuwa ndiwe uliyekuwa ngome yangu, Na makimbilio siku ya shida yangu. 
Ngojaaa nichekeee kwanzaaaNimewamiss mawifi,mashemeji bila kumsahau ankoo zaidi ya yote baby buu wangu jamani lyon leewherever you are ABJ kakumis mno ee baba
au ushapata mwingine babaangu??

Umeamkaje my SON God Bless You
MAOMBI YA KUFUNGIA MWAKA 2017*Shaloom mtumishiShalom shalom
Hahahaaa
Aliyekutekaa kakuuachiaa ??Hahahaaa
WoooozaaaaaNgojaaa nichekeee kwanzaaa![]()
![]()
![]()
Boraa umekujaaaWoooozaaaaa
Baby nitambulishe puliziiiiii
Mom*MAOMBI YA KUFUNGIA MWAKA 2017*
*Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu.
Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni wa kusameheana.*
*Msamaha ni nguzo au msingi wa utulivu wa akili na uhai wa roho zetu. Kama hakuna msamaha, familia inakuwa uwanja wa migogoro na mlipuko wa ugomvi.
Panapokosekana msamaha, familia inaugua. Msamaha unahuisha moyo, kwa kusafisha fikra na kuufanya moyo kuwa huru.
Binadamu asiyesamehe hana amani moyoni na wala hana urafiki au muunganiko na Mungu.*
*Maumivu ni sumu inayodhuru na kuua. Hebu kiponye kidonda hicho cha moyo endapo kuna dalili za kujiumiza.
Mtu asiyesamehe anajisababishia mwenyewe ugonjwa wa mwili, kiakili na kiroho. Ndiyo maana familia inapaswa kuwa sehemu ya uhai na si kifo; eneo la uponyaji na sio mahali pa magonjwa; jukwaa la msamaha na si la uovu.
Msamaha huleta furaha pale uchungu ulipoleta maumivu; huleta uponyaji hata pale ambapo maumivu yalisababisha magonjwa.*
"Ebu funga mwaka kwa kufungua milango ya kusamehe tena anza sasa na anza na wewe, mwaka 2018 Uwe na kusamehe zaidi"
```Ujumbe huu muhimu na umfikie kila mmoja wetu katika familia yake, na tuutafakari kwa kina Kama nilivyofanya Mimi..
*Nikutakie Mwaka wa mafanikio na Amani binafsi, be blessed*