Makapuku Forum

Makapuku Forum

.....ha hahaha, nauli iliishia njiani maana angekuja tungelala kama kwenye karata, mzungu wa nne. Nilienda kule kwa yule 'fundi'
Hahahahahahaha kumbe fundiii mambo yalitikiiiiii ....nilikutana nae katingaa kiminiii nikasema apa ankoo lazima aongee saa yake
 
Hahahahahahaha kumbe fundiii mambo yalitikiiiiii ....nilikutana nae katingaa kiminiii nikasema apa ankoo lazima aongee saa yake

.....ha hahaha, kumbe ulimuona? Niliongelea saa yangu, nikaongelea na ile smartphone Samsung galaxy, ile ya tachi uliyoniletea kama zawadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom