Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anko unaweza kurudii ulikotokeaaa kwa mfano lakini?


...mimi bhana tangu nitoe jino la hekima (wisdom tooth) sielewi mengi. Ngoja aje mtu pekee anayenipenda humu na bahati nzuri ni shangazi yangu Shunie , atanielewesha maana anajua akili yangu imejificha mbali kama nyeti
 
...mimi bhana tangu nitoe jino la hekima (wisdom tooth) sielewi mengi. Ngoja aje mtu pekee anayenipenda humu na bahati nzuri ni shangazi yangu Shunie , atanielewesha maana anajua akili yangu imejificha mbali kama nyeti
Ujue na ukumbukeee nilikwambia hilo jino upigwee kafutiii ukagomaaa....unaonaa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom