Makapuku Forum

Makapuku Forum

Thank u all
f31d48950ffb307e6e43b298d0a95352.jpg
 
Muziki wa Mdhamini

Ni chaguo la aunt yangu Shunie ambalo sina hakika kama anataka kumdediketia anko wangu au anataka kuutupa tu hewani sandakalawe kwa kila kapuku afurahie na nitajipa benefit of doubt kwamba anataka tuusikilize na kuufurahia kwa sababu yeye anafurahi.

Aww binamu yangu kipenzi kiboko yake mama yangu mie BH santee nakupenda tu mm jaman
 
Mshana Jr nadhani alishawahi kuliongelea hili. Kama sikosei ni yale mambo ya kuuhama mwili na kwenda sehemu zingine kiroho na inasemekana ndiyo njia ambayo hutumiwa na wachawi na wengineo kuingia majumbani huko bila kufungua milango na madirisha. Ni hatari kidogo hasa kwa watu wanaoanza kwa sababu ukikosea kidogo tu basi unakufa. Tena inabidi ufanyie mahali patulivu kwa sababu ikitokea mtu akaushtua mwili uliouacha kabla hujapata muda wa kuurudia basi hutaweza kurudi tena na hivyo unafariki.

Google Astral projection kama unataka kujifunza zaidi na kuna video nyingi YouTube. Hata hapa JF mada hii ilishaongelewa sana. Dunia hii ina mambo mengi yasiyojulikana...
Duuu hizi elimu zingine bora zinipite tu kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom