mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,477
Gawa sasa hayo madini!
Siko vzr kuyatoa kwa sasa
Gawa sasa hayo madini!
Ukiyatoaa uniite niokote hata mawiliSiko vzr kuyatoa kwa sasa
AiseeJamani Habari zenu Mwenzenu ndo naamka sasa hivi toka nilipo waaga jana
Nilikuwa Nje ya Dunia kwa Masaa hayo
Siku nikiwa na Muda Ntawapa hili Somo namna ya Kuwa Nje ya Dunia Kwa Masaa Yasopungua 15
Jambo Ambalo ni Muhim Kufanywa na Binadam Walau kwa Uchache Mara Mbili kwa Mwaka
Na linafaida Kubwa kwa Afya na Uimara wa Binadam
Born again
Nipo wangu, mamboUpoooo
Mshana Jr nadhani alishawahi kuliongelea hili. Kama sikosei ni yale mambo ya kuuhama mwili na kwenda sehemu zingine kiroho na inasemekana ndiyo njia ambayo hutumiwa na wachawi na wengineo kuingia majumbani huko bila kufungua milango na madirisha. Ni hatari kidogo hasa kwa watu wanaoanza kwa sababu ukikosea kidogo tu basi unakufa. Tena inabidi ufanyie mahali patulivu kwa sababu ikitokea mtu akaushtua mwili uliouacha kabla hujapata muda wa kuurudia basi hutaweza kurudi tena na hivyo unafariki.Aisee
Me hili somo silitaki labda wengine
Jamani Habari zenu Mwenzenu ndo naamka sasa hivi toka nilipo waaga jana
Nilikuwa Nje ya Dunia kwa Masaa hayo
Siku nikiwa na Muda Ntawapa hili Somo namna ya Kuwa Nje ya Dunia Kwa Masaa Yasopungua 15
Jambo Ambalo ni Muhim Kufanywa na Binadam Walau kwa Uchache Mara Mbili kwa Mwaka
Na linafaida Kubwa kwa Afya na Uimara wa Binadam
Born again

Mume wangu mimiSoon ndio siku gani??
AiseehMshana Jr nadhani alishawahi kuliongelea hili. Nadhani ni yale mambo ya kuuhama mwili na kwenda sehemu zingine kiroho na inasemekana ndiyo njia ambayo hutumiwa na wachawi na wengineo kuingia majumbani huko bila kufungua milango na madirisha. Ni hatari kidogo hasa kwa watu wanaoanza kwa sababu ukikosea kidogo tu basi unakufa. Tena inabidi ufanyie mahali patulivu kwa sababu ikitokea mtu akaushtua mwili uliouacha kabla hujapata muda wa kuurudia basi hutaweza kurudi tena na hivyo unafariki.
Google Astral projection kama unataka kujifunza zaidi na kuna video nyingi YouTube. Hata hapa JF mada hii ilishaongelewa sana. Dunia hii ina mambo mengi yasiyojulikana...
Poa shemeji yangu umeadimika kidogo umefichwa wapi?Nipo wangu, mambo
Aisee
Me hili somo silitaki labda wengine
Nalisubiri somo kwa hamu mkuu....Usiogope hakuna kishindikanacho Chini ya jua
Mambo VIP wifey??Mume wangu mimi

Hahaha, huu ni mtego