Makapuku Forum

Makapuku Forum

71cb895f26b251781693fcaa4f04da6c.jpg



Mzee wa kunyapia nyapia
 
Amani ya bwana ikae nanyi

Linamo my wife uwe na siku njema mumeo naendelea vyema.

Bado natafuta ili prince wetu asije kupitia changamoto zetu.


BTW still nawakumbuka sana ndugu zangu
Cc shululu, Shunie, Lee empire, Mndali ndanyelakakomu, Sakayo, Transcend, Mwifwa, dume jeuri, my lovely mom BlessedHope, dady Papaa mukongo, mtaasisi Obe na shemeji husna muba na Tumosa, Gentries, lovely mom, Valentina, Jooserest, emmyta na Lyon lee

Na wengine wengi nawapenda sana
Umefanya vizuri kuja kutyusalimia
 
Muziki: Less Talk, It's Saturday FGS

..siongei mengi leo zaidi nitakusalimia tu na kukusisitiza kuhusu mazoezi kwa wale tunaokuwa 'bize' kuliko Biziman siku tano za wiki. Mimi hapa leo mapema nimeanza na jogging kwenye chama langu la maveterani baadaye tukasukuma soka kwa dakika 90 kisha tukajivuta banda la jirani kupata supu na kabia kamoja viwili. Mimi ni kiungo mkabaji FYI na anko wangu anacheza strika mbakaji.

ujue nini, biashara lazima uwe na plan, hicho ndo cha kwanza, rasilimali na mengine. Huwa namuangalia huyu mjasiriamali anayetuuzia supu maveterani namuona ana akili sana, alijipanga yaani baada ya mazoezi anajua tutakuwa na kiu anaweka supu na bia za baridi. Pembeni kuna muuza magazeti, anajua kabisa maveterani wanapenda news na hii ni siku pekee ambayo mjomba wangu anakuwaga mtu anamuheshimu mjasirimali hamfanyii ujasiriamwili.

Muziki sasa, leo sikusoma magazeti au, nimeangalia vibaya? Asante wote kwa kulifanya Jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa, mnachopost kinamaana kama posa halali sio zile anazoendaga kutoa anko wangu, keshatoa posa na kutangaza nia ya posa kwa watu watu hawa (hivi kile kiemoji cha kuonesha vidole nakipataje nikuoneshe idadi). Wikend Njema. Tuache Upendo Utamalaki

 
Amani ya bwana ikae nanyi

Linamo my wife uwe na siku njema mumeo naendelea vyema.

Bado natafuta ili prince wetu asije kupitia changamoto zetu.


BTW still nawakumbuka sana ndugu zangu
Cc shululu, Shunie, Lee empire, Mndali ndanyelakakomu, Sakayo, Transcend, Mwifwa, dume jeuri, my lovely mom BlessedHope, dady Papaa mukongo, mtaasisi Obe na shemeji husna muba na Tumosa, Gentries, lovely mom, Valentina, Jooserest, emmyta na Lyon lee

Na wengine wengi nawapenda sana
Dooh!

Nakukumbuka sana Muweka Fedha za kamati ya Kapuku.

Mungu akupiganie kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom