Makapuku Forum

Makapuku Forum

SIzPFph.gif
 
Muziki: Less Talk, It's Saturday FGS

..siongei mengi leo zaidi nitakusalimia tu na kukusisitiza kuhusu mazoezi kwa wale tunaokuwa 'bize' kuliko Biziman siku tano za wiki. Mimi hapa leo mapema nimeanza na jogging kwenye chama langu la maveterani baadaye tukasukuma soka kwa dakika 90 kisha tukajivuta banda la jirani kupata supu na kabia kamoja viwili. Mimi ni kiungo mkabaji FYI na anko wangu anacheza strika mbakaji.

ujue nini, biashara lazima uwe na plan, hicho ndo cha kwanza, rasilimali na mengine. Huwa namuangalia huyu mjasiriamali anayetuuzia supu maveterani namuona ana akili sana, alijipanga yaani baada ya mazoezi anajua tutakuwa na kiu anaweka supu na bia za baridi. Pembeni kuna muuza magazeti, anajua kabisa maveterani wanapenda news na hii ni siku pekee ambayo mjomba wangu anakuwaga mtu anamuheshimu mjasirimali hamfanyii ujasiriamwili.

Muziki sasa, leo sikusoma magazeti au, nimeangalia vibaya? Asante wote kwa kulifanya Jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa, mnachopost kinamaana kama posa halali sio zile anazoendaga kutoa anko wangu, keshatoa posa na kutangaza nia ya posa kwa watu watu hawa (hivi kile kiemoji cha kuonesha vidole nakipataje nikuoneshe idadi). Wikend Njema. Tuache Upendo Utamalaki

Mmh uache kumuekea mama nyimbo za kufanyia mazoezi ndio ninii tena hapo mama hatakuelewa
 
Muziki: Less Talk, It's Saturday FGS

..siongei mengi leo zaidi nitakusalimia tu na kukusisitiza kuhusu mazoezi kwa wale tunaokuwa 'bize' kuliko Biziman siku tano za wiki. Mimi hapa leo mapema nimeanza na jogging kwenye chama langu la maveterani baadaye tukasukuma soka kwa dakika 90 kisha tukajivuta banda la jirani kupata supu na kabia kamoja viwili. Mimi ni kiungo mkabaji FYI na anko wangu anacheza strika mbakaji.

ujue nini, biashara lazima uwe na plan, hicho ndo cha kwanza, rasilimali na mengine. Huwa namuangalia huyu mjasiriamali anayetuuzia supu maveterani namuona ana akili sana, alijipanga yaani baada ya mazoezi anajua tutakuwa na kiu anaweka supu na bia za baridi. Pembeni kuna muuza magazeti, anajua kabisa maveterani wanapenda news na hii ni siku pekee ambayo mjomba wangu anakuwaga mtu anamuheshimu mjasirimali hamfanyii ujasiriamwili.

Muziki sasa, leo sikusoma magazeti au, nimeangalia vibaya? Asante wote kwa kulifanya Jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa, mnachopost kinamaana kama posa halali sio zile anazoendaga kutoa anko wangu, keshatoa posa na kutangaza nia ya posa kwa watu watu hawa (hivi kile kiemoji cha kuonesha vidole nakipataje nikuoneshe idadi). Wikend Njema. Tuache Upendo Utamalaki


Khaa Obe mazoezi na wimbo huu nitalazwa hospitali..ni mzuri kuuangalia ..asante sana Obe..ila unamfahamu mnunuzi wa nyumba za lugumi..ni jirani yako kwa maveterani fuatilia kwa makini anajulikana pale viziriii

UBARIKIWE
 
Khaa Obe mazoezi na wimbo huu nitalazwa hospitali..ni mzuri kuuangalia ..asante sana Obe..ila unamfahamu mnunuzi wa nyumba za lugumi..ni jirani yako kwa maveterani fuatilia kwa makini anajulikana pale viziriii

UBARIKIWE


...ha hahaha huyu bilionea bhana. Kaifanya wiki iwe nzuri sana, mia 9 itapendeza.

mazoezi hautalazwa labda kulaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom