makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,877
- 104,090
Usije kumfadhaisha anko wako.. muungir hata buku 2 tuuNimeshaghaili agiza kwa bill yako
Usije kumfadhaisha anko wako.. muungir hata buku 2 tuuNimeshaghaili agiza kwa bill yako
Hivi mnapata starehe kabisa mnaotumia majani eenh kweli kila mtu na starehe yake jamanWatuachie starehe yetu..
...nipeleke ukanifungie kwa BH, maana nitapenda sana kufungwa pingu za maisha

Leo mwisho wa mwezi nn
NshamkanyaaaaSimsamehi huyu mjomba wenu ana maksudi sana
Na hapo umetumia nguvu za ziada
Umemkanya wapii mbona sijaona jamanNshamkanyaaaa
Starehe yake huwa haielezeki, nilikuwa najiskia poa sana mpaka hapo nilipoamua kuicha mwenyewe..Hivi mnapata starehe kabisa mnaotumia majani eenh kweli kila mtu na starehe yake jaman
Umejuajeee...sio mwisho wa mwezi, leo yuko kwenye siku yake, anafurahia
Ahahhah nguvu ya ziada ya niniNa hapo umetumia nguvu za ziada
Najua mambo yako na najua kwa husobe umejiatach na very weak bond
Aiseee usikute starehe unayoisikia kama vile me nikipiga viheinken vyanguStarehe yake huwa haielezeki, nilikuwa najiskia poa sana mpaka hapo nilipoamua kuicha mwenyewe..
kweli kila mtu na starehe yake
...anko, kuna mambo sio ya kuweka hadharani kwa mtindo wa kutoongopa. Mimi kwa Husobe nimejifunga pingu za muendelezo, yaani niko kama mgonjwa wa tumbo anavyokaa karibu na maliwato




Tena nitahakikisha mama akukatae
Umejuajeee
Meya aliumbuka au meya ndiye shujaa?Meya aliumbukaje!!??![]()
![]()
![]()
Vice versa.. kuna viulizo hapo mbele, ni kama kuwazodoa wale waliokuwa wakimkritisaizi.Meya aliumbuka au meya ndiye shujaa?
Sawa mkuu...Vice versa.. kuna viulizo hapo mbele, ni kama kuwazodoa wale waliokuwa wakimkritisaizi.