Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Ahahhaha
Ahahhaha
Makubaliano yapiii zije korosho kwanza ndio tutafanya makubalianotufanye makubaliano ya mwanzo kwanza
Kidaka tonge ni ninii binamu....si ungeamua kuwa unatafuna zile mbegu zake, zina ladha nzuri sana na zinatibu kidaka tonge
Mmh siku nyingine vipiii tena na mm nimeuliza leoHahaa.. sina hakika kwa hilo ntafafanua siku nyingine..
Hapana alete korosho kwanza makaTaratibu unaingia laini![]()
![]()
![]()
Makubaliano yapiii zije korosho kwanza ndio tutafanya makubaliano
Mfyuuuuuu....😀😀😀😀na mimi nilisikia kwa mjomba wangu😵😵
Sitaki na mabibo zije korosho zimeshabanguliwa yaan zikija ni kula tu hivi kwa nini unanifanyia hivyo kuhusu korosho...sasa hujasema kama ni za kukaangwa au nikuletee na maganda yake uyatumie kama scrab uwe white.
Ukitaka nitakuletea hadi na mabibo na kinywaji chake Nipa
Simu haina chaji.Mmh siku nyingine vipiii tena na mm nimeuliza leo
mjomba wangu aachwe tu kama alivyo, hasa huyu mdogo bora yule mkubwa aliyetokea kwa bahati mbaya kuwa mumeoMfyuuuuuu
Akikupa korosho si ndio basi tena.. unakuwa ushaingia laini.Hapana alete korosho kwanza maka

Kwani we huwa unamzungumzia mdogo si kila siku unamzungumzia mkubwa una ninii lakini binamumjomba wangu aachwe tu kama alivyo, hasa huyu mdogo bora yule mkubwa aliyetokea kwa bahati mbaya kuwa mumeo
Zifike kwanza maka obe mwenyewe msaniiiAkikupa korosho si ndio basi tena.. unakuwa ushaingia laini.![]()
![]()
Sitaki na mabibo zije korosho zimeshabanguliwa yaan zikija ni kula tu hivi kwa nini unanifanyia hivyo kuhusu korosho
Sababu ya BH atakupa tu.. si unajua wanaume tukiwa tunataka vyetu tena.Zifike kwanza maka obe mwenyewe msaniii

Kwani we huwa unamzungumzia mdogo si kila siku unamzungumzia mkubwa una ninii lakini binamu
Sababu ya BH atakupa tu.. si unajua wanaume tukiwa tunataka vyetu tena.![]()
Ahahahhh lakini nimekuelewa ujue![]()
![]()
hapana.. (in kirikou's voice)